Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake. Pamba Jiji licha ya kukamata nafasi ya 12 katika msimamo ikiwa na alama 30 baada ya mechi 28, ikishinda…

Read More

Hamas yaitaka Marekani kuishinikiza Israel kusitisha vita – DW – 10.06.2024

Afisa huyo mwandamizi wa Hamas, Sami Abu Zuhri, ameutolea wito utawala wa Marekani kuzidisha shinikizo litakalowezesha kusitishwa kwa vita huko Gaza huku akisisitiza kuwa kundi hilo liko tayari kutathmini kwa nia njema mpango wowote utaofanikisha azma hiyo ya  kusitisha vita. Kabla ya Blinken kuelekea Israel katika ziara yake ya nane eneo hilo, atafanya kwanza ziara nchini…

Read More

Mutale afichua siri Msimbazi | Mwanaspoti

WINGA Joshua Mutale amekuwa mtamu kama mcharo. Kwa wanaokumbuka wakati anatua Msimbazi kutoka Power Dynamos ya Zambia, jina lake lilibeba matumaini. Mutale maarufu kama Budo, aliingia kikosi cha Simba kama mmoja wa wachezaji waliotarajiwa kuleta mapinduzi msimu huu, lakini kama ilivyo kwa nyota wengi, safari yake haikuwa tambarare, hata hivyo kwa sasa ni kama gari…

Read More

Veta yatengeneza mtaala kufundisha wafanyakazi wa ndani

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema imetengeneza mtaala kwa ajili ya kutoa mafunzo ya kuhudumia wazee na kazi za nyumbani kutokana na kuwapo kwa hitaji katika soko la ajira. Akizungumza leo Julai 6,2024 Julai 6,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba Mkurugenzi…

Read More

VIJANA, WAKINA MAMA TANGA WATANGAZIWA FURSA YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organazation (TOIO) Shaukatali Hussein akiwaonyesha wanahabari ambao hawapo pichani bajaji inayotumia umeme walioyoitengeneza Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organazation (TOIO) Shaukatali Hussein akikagua moja ya bajaji ambazo zinatarajiwa kuunganishwa na baadae kutengenezwa kwa ajli ya kutumia umeme Na Oscar Assenga, TANGA VIJANA na Wakima mama waliopo…

Read More

Walalama majina kutosomeka vizuri | Mwananchi

Musoma. Wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wanalalamikia majina ya wapiga kura yaliyobandikwa kwenye baadhi ya vituo kutosomeka vizuri. Hali hiyo imeelezwa kuchangia usumbufu kwa wapiga kura waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaofanyika nchini kote leo Jumatano Novemba 27, 2024. Akizungumza na Mwananchi, mkazi wa Kata ya Bweri, Stella Wambura…

Read More

Wasichana 10,100 waliokatisha masomo warejeshwa shule

Dodoma. Jumla ya wasichana 10,100 waliokatiza masomo, wamerejeshwa shuleni nje ya mfumo wa rasmi wa elimu kwa kipindi cha miaka mitatu tangu mwaka 2022 hadi mwaka 2024. Wengi wa wanafunzi hao ni wale waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito na utoro, ambao wamerejeshwa shuleni kupitia vituo vya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, ikiwa ni miaka…

Read More