Kocha mpya Kiluvya aanika siri nzito

KOCHA mpya wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ amesema anahitaji muda zaidi wa kutengeneza kikosi hicho ili kilete ushindani msimu huu, huku akieleza mapungufu makubwa ya timu hiyo ni kutokuwa na maandalizi bora ya msimu ‘Pre Season’. Kocha huyo wa zamani wa Stand United amejiunga na kikosi hicho akichukua nafasi ya Twaha Beimbaya aliyeondolewa kutokana…

Read More

Alivyoishi mtoto wa mfanyabiashara aliyeuawa

Dodoma. Mwalimu wa Kwaya ya Shekina iliyoko chini ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Area D jijini Dodoma, Amani Bale amesimulia jinsi mtoto Grayson Kanyenye (6) aliyeuawa, alivyoshiriki uimbaji. Grayson, mtoto wa mfanyabiashara Zainab Shaban, alifariki dunia usiku wa kuamkia Desemba 25, 2024 nyumbani kwa rafiki yake ambaye ni Ofisa Uvuvi Mtera, Hamis…

Read More

Serikali yahimiza wabunifu majengo na wakadiriaji kuchangamkia fursa za miradi mikubwa

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali imetangaza kuendelea kutoa hamasa kwa wataalam wa ubunifu wa majengo na ukadiriaji majenzi ili kuchangamkia fursa za ajira katika miradi mikubwa inayoendelea nchini, hatua inayolenga kukuza sekta ya ujenzi ikiwemo kuendana na mabadiliko ya teknolojia. Akizungumza katika mkutano wa tano wa Bodi ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi uliofanyika…

Read More