Mgomo wafanyika Israel kushinikiza kuachiliwa kwa mateka – DW – 02.09.2024

Wafanyakazi hao wanapinga hatua za serikali kushindwa kuumaliza mzozo huo na kufanikisha kuwarejesha nyumbani mateka waliosalia mikononi mwa kundi la Hamas. Mgomo huo unaoongozwa na muungano wa mashirika ya wafanyakazi ya Israel, Histadrut umekwamisha shughuli za kibiashara na kijamii. Idadi kubwa ya miji na jamii kadhaa zilijiunga na maandamano hayo, huku baadhi wakikataa kufanya hivyo…

Read More

Utunzaji ngozi kwa wanaume wazua mjadala

Dar es Salaam. Kwa miongo kadhaa, huduma ya ngozi maarufu ‘skincare’ ilionekana kama jambo la wanawake, ikiambatana na watu maarufu, watu wa mitandao ya kijamii na wanamitindo wa urembo. Lakini mtazamo huo kwa sasa unabadilika. Idadi inayoongezeka ya vijana wa kiume, hususan wa kizazi cha Gen Z, sasa wanahusudu huduma ya ngozi kama sehemu ya…

Read More

Wachache wajitokeza kujisajili uchaguzi wa mitaa Tanzania – DW – 11.10.2024

Haya ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu, huku kukiwa na mwamko mdogo wa wananchi waliojitokeza kujiandikisha katika daftari hilo. Akizungumza Ijumaa mara baada ya kujiandikisha katika kitongoji cha Sokoine, wilayani Chamwino, Dodoma, Rais Samia aliwasisitiza Watanzania kujitokeza kujiandikisha kwani uchaguzi huu ndio unaotoa taswira ya uchaguzi mkuu ujao…

Read More

Je, COP29 itatoa matrilioni yanayohitajika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa unaosababishwa na binadamu? – Masuala ya Ulimwenguni

Je, nchi zinaweza kukubaliana juu ya shabaha mpya ya ufadhili wa hali ya hewa? Baraza kuu la Umoja wa Mataifa la Sayansi ya Hali ya Hewa, Jopo la Serikali Mbalimbali la Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC) imetoa maonyo yanayozidi kutisha kuhusu kasi ya ongezeko la joto duniani. Ili kupunguza ongezeko la joto hadi 1.5°C zaidi ya…

Read More

Wazazi watakiwa kuimarisha uhusiano na watoto wao

Dar es Salaam. Wazazi wametakiwa kuimarisha uhusiano na watoto wao kwa kuwauliza maswali ya maana ili kuelewa hisia na mawazo yao. Imeelezwa kuwa, njia hiyo itasaidia kulinda misingi ya imani na kuzuia matatizo ya baadaye yawakumbayo vijana. Haya yamesemwa leo Jumapili Agosti 11, 2024 katika Kongamano la Pili la Kimataifa la Masheikh na Kizazi cha…

Read More