Tanzania inavyohitaji mfumo wa elimu mviringo

Nimewahi kuzungumzia jinsi mababu zetu walivyowalea watoto na wajukuu zao ili waelewe kwamba ulimwengu wote una asili ya kuhusiana, kutegemeana, na kuunganika. Nimekuwa nikiita hii ni falsafa ya mviringo ambao hauna budi kulindwa ili usivunjike au kutenganishwa kwa namna yoyote. Tuchukue mfano wa gurudumu la baiskeli ambalo ni mviringo. Gurudumu hilo likitoboka au kukatika, baiskeli…

Read More

Dube achimbwa mkwara Ligi Kuu, aishukuru Azam FC

SAA chache tangu Azam FC itangaze kuridhia kumuachia Prince Dube baada ya Mzimbabwe huyo kuomba kuvunja mkataba ili awe huru, nyota huyo amefanya mahojiano mafupi na Mwanaspoti na kufunguka kuwa uamuzi aliouchukua kuiacha timu hiyo ni sahihi na kuwataka mashabiki wasubiri waone mambo msimu ujao. Klabu ya Azam, ilitoa taarifa Ijumaa usiku kuwa imeridhia ombi…

Read More

Huu ndio umuhimu, faida za kuchagua viongozi wa mitaa

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, juzi alizindua kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa na kutangaza siku ya kupiga kura. Katika uzinduzi huo, aliwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi huo kwa kuchagua viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji. Waziri Mchengerwa alisisitiza…

Read More

Boma la zahanati lageuka pango la wabakaji

Shinyanga. Wakazi wa kata ya Kizumbi mkoani Shinyanga wamelalamikia kutokamilika kwa jengo la zahanati iliyoanzishwa na wananchi wa eneo hilo, hali iliyosababisha liwe pango la wahalifu. Jengo hilo ambalo ujenzi wake umesimama kwa takribani miaka 10 limegeuka eneo la kufanyia vitendo vya uhalifu ikiwamo ubakaji na kuhatarisha maisha ya wanawake na wasichana. Hayo yamebainishwa leo…

Read More

VIDEO: Mwanachuo mbaroni kwa tuhuma za uchochezi mitandaoni

Mwanza. Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini (IRDP) Tawi la Mwanza, kilichopo Kisesa wilayani Magu, Elias Mbise (20) amekamatwa akidaiwa kusambaza taarifa za uchochezi mitandaoni na kuhamasisha wenzake kuwafanyia vurugu askari wa Jeshi la Polisi na watumishi wengine wa umma. Mwanafunzi huyo anadaiwa kusambaza taarifa hizo katika kundi sogozi (WhatsApp) akiwashawishi watu mbalimbali…

Read More

Haaland, Raizin katika vita mpya

MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi, huku akieleza kila mchezo kwake anauchukulia kwa usiriaz. Kauli yake inajiri baada ya nyota hao kupishana mabao mawili, Shahame akifunga mabao 12 huku Raizin ambaye ndiye kinara akiwa na 14,…

Read More