Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza suala hilo Juni mosi mwaka 2019 Tanzania ilitangaza marufuku ya kutengeneza, kusambaza, kutumia au kutunza mifuko ya plastiki. Katazo hili lilifuatia tangazo lililotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa…

Read More

RENMIN ,SHULE YA UONGOZI MWALIMU NYERERE WASAINI MKATABA WA KUBADILISHANA UZOEFU

Kutoka kushoto  ni Mkuu wa Chuo Cha Renmin  Prof.Zhang Donggang na Prof.Marcellina Chijoriga  wakisaini mkataba  huo. Kutoka kushoto  ni Naibu Mkuu wa  Chuo Cha  Kumbukumbu  ya Mwalimu Nyerere  Dkt. Evaristo Haule Shule ya Uongozi Mwalimu Nyerere Profesa Marcellina Chijoriga  na Mkuu wa Chama Tawala Cha China  Cha (CPC)kwenye Chuo cha Renmin Zhang Donggang wakiwa  katika…

Read More

SERIKALI, VIETTEL ZAFIKIA MAKUBALIANO KUHUSU MAWASILIANO

Na Mwandishi Wetu WHMTH Serikali yakamilisha Majadiliano kati yake na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock ya Vietnam kuhusu utekelezaji wa mkataba wa ufikishaji mawasiliano ikiwepo ujenzi wa miundombinu ya mkongo ulioingiwa mnamo mwaka 2014. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa vikao hivyo vya majadiliano tarehe 19 Julai, 2024, Mwenyekiti wa Timu ya Majadiliano ya…

Read More

TFRA YAWAVUTIA WAWEKEZAJI SEKTA YA MBOLEA KUTOKA OMAN

Na Mwandishi wetu MUSCAT-Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki katika Kongamano la Kibiashara baina ya Tanzania na Oman lenye lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uchumi baina ya nchi hizo mbili. Kongamano hilo lililohusisha takribani watanzania 300 limefanyika leo Septemba 29, 2024 katika Hoteli ya Sheraton iliyopo mji…

Read More

Mtumishi wa Tasaf auawa, kaburi lake lapandwa nyanya

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Castory Madembwe, mtumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), mkazi wa Ipuli. Watuhumiwa hao wanadaiwa kutekeleza mauaji ya Madembwe, kisha kuufukia mwili wake nyuma ya nyumba inayodaiwa kupangishwa na mmoja wao, na juu ya kaburi hilo…

Read More

Hersi aongoza dua maalum ya Manji

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said ameongoza dua maalumu ya kumuombea aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji. Dua hiyo imefanyika leo, makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani na kuhudhuriwa pia na ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine na viongozi wengine wa klabu hiyo. Walikuwapo pia wazee…

Read More

Serikali: Fedha zinazotumika kukarabati viwanja vya CCM zitarudi kwa umma

Dodoma. Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu Watanzania kuwa fedha zitakazotumika kukarabati viwanja vya michezo vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) zitarejeshwa kwa umma, ili zitumike kufanya mambo mengine. Katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya aliyekuwa Wazira ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa, aliomba Bunge kuwaidhinishia Sh10 bilioni katika mwaka 2022/23 kwa…

Read More