Trump atoa kauli mgogoro wa Rwanda, DR Congo

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) “ni tatizo kubwa sana.” Trump amebainisha hilo Alhamis Januari 30, 2025 akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu kinachoendelea baina ya Rwanda na DRC, wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu ajali ya ndege iliyotokea…

Read More

Rais Yoon akamatwa, awaaga wafuasi wake

Seoul. Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk-Yeol amekamatwa nyumbani kwake jijini Seoul nchini humo. Al Jazeera imeripoti leo kuwa Rais Yoon, ametiwa nguvuni leo Jumatano Januari 15, 2025, baada ya maelfu ya askari kutoka Idara ya Kupambana na Rushwa (CIO) na Polisi nchini humo kufurika nyumbani kwake. Misururu ya magari ya askari hao aina ya…

Read More

Balozi wa Pamba nchini alia na uzalishaji hafifu

Na Samwel Mwanga, Maswa BALOZI wa Pamba nchini, Agrey Mwanri, amesema kuwa uzalishaji mdogo wa zao la pamba kwa ekari unasababishwa na baadhi ya viongozi ambao hawatimizi wajibu wao katika kusimamia wakulima wa zao hilo kulima kwa kufuata sheria na kanuni zinazoongoza kilimo cha zao hilo. Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilaya…

Read More

Tanzania Prisons sasa mziki umetimia

KITENDO cha nyota wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma na Samson Mbangula kurejea kikosini, kumemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makatta kupata hali ya kujiamini akisema kwa sasa kazi inaanza upya katika Ligi Kuu Bara. Prisons imeanza kwa ugumu Ligi Kuu baada ya kucheza michezo miwili bila kufunga bao, wakiambulia matokeo ya 0-0 mfululizo dhidi…

Read More

Happy Birthday Clouds/asante kwa tafuu

Ni miaka 25 toka kuanzishwa kituo cha utangazaji wa radio ya watu CloudsFM ambayo ilikuwa ni December 2 lakini imeamuliwa kusherehekea leo hii ambapo Mkurugenzi Mkuu Joseph Kusaga amechagua kuwa mtangazaji wa Zamu aliyepita vipi tofauti tofauti na kuzungumza na watangzaji wa vipindi hivyo Hizi hapa ni picha za matukio tofauti tofauti kutoka Mjengoni Clouds…

Read More

VITUO VYA GESI ASILIA NCHINI SASA NI TISA

          ::::::::  Hadi Aprili, 2025 jumla ya vituo 9 vya CNG vimekamilika na vinatoa huduma, ikilinganishwa na vituo viwili (2) mwaka 2020/21.  Mwelekeo wa Serikali ni kuwa na vituo 7620 ifikapo Juni, 2026.  Aidha EWURA iliendelea kusimamia shughuli za udhibiti katika mkondo wa kati na chini wa gesi asilia kwa kufanya…

Read More

Majaliwa afichua siri Tanzania kupiga hatua kimaendeleo, amani

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ushiriki wa viongozi wa dini katika mipango ya maendeleo ya jamii unasaidia kwa kiasi kikubwa kusonga mbele. Alisema mahubiri wanayotoa yanayokanya na kukemea maovu yanasaidia kuleta mahusiano mazuri na kuhamasisha uwepo wa amani katika jamii. Wananchi wakiwa katika maombi ya kitaifa viwanja wa Leaders, Dar es Salaam….

Read More