Manula afunguka hatma yake Simba

KIPA wa Simba, Aishi Manula kwa sasa hana namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo licha ya kuipa mafanikio kibao ikiwamo ubingwa wa Ligi Kuu Bara zaidi ya mara nne tangu alipotua kikosini 2017/18. Hata hivyo, tangu msimu uliopita, Manula amekuwa na ingia toka katika kikosi cha kwanza ambapo amecheza mechi chachem…

Read More

Kocha Yanga ataja siri ya Gamondi

WAKATI Yanga imebakiza pointi 12 ikiwa ni sawa na mechi nne ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, kocha wa viungo wa timu hiyo, Taibi Lagrouni amefunguka siri ya ubora kwa kumtaja Miguel Gamondi kuwa ana nidhamu ya kupanga kikosi. Timu ya Wananchi imecheza mechi tano Aprili, nne za ligi…

Read More

Ushindi wa Trump wazua mtafaruku Democrat

Dodoma. Ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa Marekani umeibua mgawanyiko ndani ya Chama cha Democrat, wakishutumiana kusababisha kushindwa kwenye uchaguzi huo na Republican. Wengine wanamlaumu Rais Joe Biden kwa kujitoa katika kinyang’anyiro wakati usio muafaka, hatua wanayoamini iliongeza mzigo kwa chama hicho kongwe nchini Marekani kilichoanzishwa mwaka 1828. Katika uchaguzi wa Novemba 5, Trump…

Read More