Shangazi afunguka sababu ya kujiuzulu Simba SC

Mbunge wa Jimbo la Mlalo na mjumbe kamati ya bodi ya wawekezaji wa Simba kupitia upande wa mwekezaji Mohamed Dewji, Rashid Abdallah Shangazi ameeleza sababu ya kujiuzulu kwake kwenye nafasi hiyo. Shangazi amesema kuwa ameamuandikia Mohamed Dewji, barua ya kumuomba kujiondoa kwenye bodi ya uwekezaji tangu Juni 2 mwaka huu hii ni kutokana na mwenendo…

Read More

Kibu aivuruga Simba | Mwanaspoti

Simba bado haina uhakika wa kumtumia mshambuliaji wake Kibu Denis katika mechi inayofuata ya Ligi Kuu dhidi ya Fountain Gate, Alhamisi, Februari 6, 2025. Mshambuliaji huyo aliumia katika kipindi cha pili cha mchezo uliopita wa Simba dhidi ya Tabora United ambao timu yake iliibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,…

Read More

Picha: GSM afika China kushuhudia maonesho ya Canton Fair 2024

Ikiwa Silent Ocean ltd ‘Simba wa Bahari’ kutangaza Good news ya kuwarahisishia wateja wao wote pindi wanapoingia nchini China kwaajili kufanya manunuzi ya bidhaa zao kwenye maonesho Makubwa ya Kimataifa ya Biashara Canton Fair 2024. Sasa hapa nimekusogezea picha mbalimbali zikionesha Watanzania waliopokelewa na Silent Ocean Ltd, pia zikiwemo za Mfanyabiashara na Rais kampuni ya…

Read More

Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali ambayo ni tofauti sera ya Serikali ya elimu bila malipo. Mbogo amesema hayo leo Alhamisi Aprili 18, 2024 wakati akichangia taarifa ya makadirio ya mapato na mtumizi kwa mwaka wa…

Read More