ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA

***** Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri Ulega amemuagiza Mkandarasi…

Read More

Diego Simeone: “Memphis anatakiwa kutafuta klabu”

Atletico Madrid wanapanga kuondoka katika majira ya kiangazi, na mmoja wa wachezaji wanaotarajiwa kuondoka ni Memphis Depay, ambaye matatizo yake ya majeraha ya mara kwa mara yamemsumbua sana kocha mkuu Diego Simeone katika kipindi cha miezi 16 iliyopita, tangu alipowasili Civitas Metropolitano akitokea La. Wapinzani wa Liga Barcelona. Depay ameichezea Atleti mechi 40 katika mashindano…

Read More

Kinda Yanga amtaja kocha | Mwanaspoti

KINDA la zamani la Yanga U-20 anayekipiga Wakiso Giants ya Uganda, Isack Emmanuel Mtengwa amesema kocha wa timu hiyo ana mchango mkubwa kukua kwenye karia yake. Ikumbukwe nyota huyo yupo Wakiso kwa mkopo wa mwaka mmoja pamoja na beki wa kati Shaibu Mtita ambao wote wameanzimwa kutoka Yanga ya vijana. Akizungumza na Nje ya Bongo,…

Read More

SHULE YA MSINGI MKANGE YAKABILIWA NA UCHAKAVU WA MIUNDOMBINU NA UPUNGUFU WA MADAWATI

Na Mwamvua Mwinyi, Mkange-Chalinze  Feb 28,2025 Shule ya Msingi Mkange, iliyopo Chalinze, mkoani Pwani, inakabiliwa na changamoto kubwa ya uchakavu wa miundombinu, ambapo vyumba vya madarasa vitatu vimechakaa na madarasa mawili hayatumiki ili kuepuka hatari kwa wanafunzi. Hali hii ilibainika wakati wa ziara ya maofisa kutoka Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya MAMA SAMIA,Chalinze na…

Read More

Hospitall ya Mount Meru kuwatibu wagonjwa majumbani

Arusha. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, itaanza kutoa huduma ya matibabu kwa kuwafuata nyumbani wenye magonjwa ya muda mrefu, magonjwa sugu kama saratani na wenye changamoto za kiharusi. Huduma hiyo ambayo inatarajia kuanza kutolewa Oktoba mwaka huu, tayari Serikali imewekeza zaidi ya Sh300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa. Mganga Mfawidhi…

Read More