INGIA UVUVINI NDANI YA MERIDIANBET USHINDE MKWANJA

JE, Unapenda Uvuvi? Meridianbet Kasino ya Mtandaoni imekuandalia safari ya kushangaza kwa ajili yako mwezi huu wa Septemba! Endelea kucheza moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni hapa chini, na unaweza kushinda zawadi kabambe na pesa kibao! • Big Bass Bonanza: Keeping it Real • Big Bass Bonanza: Amazon Extreme • Big Bass Bonanza: Hold…

Read More

Pamba Jiji yaonywa mapema Ligi Kuu Bara

MAANDALIZI ya Pamba Jiji kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao wa mwaka 2024/2025 yanazidi kushika kasi, huku mastaa wa zamani na makocha wakiionya kufanya usajili wa kukurupuka utakaoisababisha kushuka daraja msimu wake wa kwanza. Timu hiyo ya jijini hapa tayari imeachana na benchi la ufundi chini ya Mbwana Makatta na Renatus Shija walioipandisha daraja…

Read More

Tanzania kukutana na mabalozi 9 kutatua changamoto za kikodi

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekubali ombi la Mabalozi wa nchi mbalimbali walioomba kikao cha kujadili kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa lengo la kukwamua changamoto zinazowakabili wawekezaji kutoka nchi zao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mabalozi walioomba kikao na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

COY ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA (TCA)

Mwanzilishi wa Jukwaa la Ucheshi (Cheka tu) Conrad Kennedy Coy amepewa Tuzo ya Heshima Katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) unaofanyika Ukumbi wa Superdom Masaki Jijini Dar es Salaam. Coy amekuwa akitoa Mchango wake Mkubwa na Kufanya Mapinduzi ya burudani ya Ucheshi Kipindi cha hivi Karibuni . Aidha Coy amekuwa akilea Wasanii wa Ucheshi…

Read More

Mazito yabainika viwanja 14 vya Ligi Kuu, Kwa Mkapa…

UBORA wa viwanja una nafasi kubwa ya kuzalisha ligi, wachezaji na timu bora na ni jambo lililo wazi hakuna nchi yoyote iliyopiga hatua kisoka ambayo haina viwanja. Katika kuonyesha umuhimu wa uwanja katika mchezo wa soka, umewekwa kama sheria namba moja kati ya 17 za soka na hakujawahi kuwa na mabadiliko yaliyowahi kuifanya iwe tofauti…

Read More

BASHIRI NA MERIDIANBET AHAMISI YA LEO

ALHAMISI ni kwaajili ya mechi za EUROPA na leo hii kuna mechi zaidi ya 10 ambazo zinaenda kukupatia mkwanja wa maana. Usipitwe na ODDS KUBWA ndani ya Meridianbet, beti sasa. Suka jamvi lako kwenye mechi ya Galatasaray vs Tottenham Spurs ambapo timu hizi zimetofautina pointi 2 pekee kwenyeji yupo nafasi ya 5 na mgeni wake…

Read More

Magari yakwama, madereva walala njiani Kilolo

Iringa. Wakati madereva wakilia kulala njiani baada ya magari yao kukwama, Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga ameiomba Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (Tarura) kutengeneza maeneno korofi kwa kutumia zege ili barabara ziweze kupitike. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, hali ya barabara imezidi kuwa mbaya katika baadhi ya maeneo, jambo linalosababisha magari kukwama na wananchi…

Read More

Kuwekeza kwa Walimu, Viongozi wa Shule Muhimu katika Kuwaweka Wasichana Shuleni Matokeo ya Utafiti wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika — Masuala ya Ulimwenguni

Wasichana wa Shule ya Wasichana ya Dabaso huko Malindi, Kenya, wakipiga picha na mpira wakati wa mapumziko. Elimu ya sekondari kwa wote inaweza kukomesha ndoa za utotoni na kupunguza uzazi wa mtoto kwa hadi robo tatu, kulingana na ripoti ya Umoja wa Afrika na UNESCO. Credit: Kwa Hisani ya Stafford Ondego kwa EDT PROJECT by…

Read More

JESHI LA POLISI LATOA TAMKO KUHUSU TAARIFA INAYOSAMBAA YA KUFUNGWA KWA BIASHARA KARIAKOO

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha. Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”. Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini Naibu kamishna wa Polisi…

Read More