
Hali ya utulivu yarudi Nairobi baada ya maandamano – DW – 28.06.2024
28.06.202428 Juni 2024 Hali ya utulivu imeanza kurudi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na maeneo mengine ya nchi hiyo kufuatia maandamano ya jana Alhamisi. https://p.dw.com/p/4hd1X Askari jeshi ambae analinda doria katika viunga vya mji wa Nairobi kufuatia maandamano ya wananchi.Picha: Daniel Irungu/EPA Biashara na maduka yamefunguliwa huku wananchi wakiripotiwa kuendelea na shughuli zao za…