
WAZIRI WA MIPANGO NA UWEKEZAJI APONGEZA KIWANDA CHA MATI SUPER BRANDS LTD.
NaMwandishi Wetu,Manyara Waziri wa nchi Ofisi ya Rais ,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amepengeza Wawekezaji wazawa wa kiwanda cha Mati Super brands limited kwa kulipa kodi stahiki za serikali na kutengeneza ajira kwa vijana hivyo kuchochea maendeleo ya Mkoa wa Manyara na Taifa kwa ujumla.Akizungumza mara baada ya kutembelea kiwanda cha Mati Super Brands…