Kiongozi wa kuandaa Katiba mpya CCM hajazaliwa

HABARI kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kipo tayari kukaa meza moja ya mazungumzo na vyama mbalimbali kwa lengo la kufanya mjadala wa Katiba pamoja na maridhiano ni mgeni pekee wa siasa za Tanzania masikio yake yanaweza kusisimkwa na kuamini, maana kiongozi wa kuandaa Katiba Mpya kutoka chama hicho hajazaliwa. Anaandika Bupe Mwakiteleko … (endelea). Wamewachezea…

Read More

Samia kuhutubia maadhimisho ya uhuru Comoro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Comoro kwa mwaliko wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Azali Assoumani. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Shaaban Kissu imesema Rais Samia atasafiri kesho Jumapili Julai 6, 2025….

Read More

Lissu ataja masharti kina Mdee kurejea Chadema

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiendelea na harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu amebainisha kile kinachopaswa kufanywa iwapo wanataka kurejea. Lissu amesema Halima Mdee na wenzake 18 ambao walivuliwa uanachama Novemba 27,…

Read More

Mashambulizi ya Iran yapandisha bei ya mafuta

Muda mfupi kabla ya Iran kurusha mamia ya makombora Israel usiku wa kumkia leo Oktoba 2, 2024, tayari bei ya mafuta imeshaanza kupanda. Mashambulio hayo yanakuja kufuatia vita vinavyoendelea kati ya Israel na Kundi la Hezbollah la Lebanon. Israel ilianzisha mashambulizi katika Mji wa Beirut nchini Lebanon wiki iliyopita na kusababisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi…

Read More