Ma-DC watwishwa mzigo utatuzi wa migogoro familia, ardhi

Ruangwa. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa wilaya kuhakikisha wanasimamia utatuzi wa migogoro ya wosia, ardhi na ile ya kifamilia kwenye maeneo yao. Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia leo Februari 19 2025 katika uwanja wa Madini wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi….

Read More

Matarajio bajeti ya Zanzibar 2025/2026, ikiwasilishwa Baraza la Wawakilishi

Unguja. Wakati Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yenye makadirio yanayofikia Sh6.8 trilioni ikisomwa kesho, wananchi na wataalamu mbalimbali wameendelea kutoa maoni tofauti kuhusu vipaumbele vinavyopaswa kuzingatiwa. Bajeti hiyo ni ongezeko la asilimia 31 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka wa fedha uliopita wa 2024/2025 ya Sh5.182 trilioni, ambayo …

Read More

Jinsi ya kurudisha 'sexy' katika kilimo

Dk Ismahane Elouafi, Mkurugenzi Mtendaji wa CGIAR. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana, Cecilia Russell (Nairobi) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 11 (IPS) – Wiki hii iliwasilisha beacon ya tumaini kwa vijana ili “msichana kutoka Kusini na mvulana, kwa kweli” aweze kukaa katika ulimwengu unaoendelea, Dk Ismahane Elouafi, mkurugenzi…

Read More

Mwalimu: Kuiacha CCM kupita bila kupingwa ni dhambi

Arusha. Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema chama hicho kinatambua historia ya siasa za upinzani hazijawahi kuwa rahisi Afrika, lakini itakuwa dhambi kubwa kukiachia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupita bila kupingwa Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu. Akihutubia wananchi kwenye mwendelezo wa mikutano ya hadhara ya Chaumma For Change…

Read More

Wawili washikiliwa na Polisi Mtwara kwa mauaji

Mtwara. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji katika matukio mawili tofauti ambapo watuhumiwa hao, kila mmoja alitumia kipande cha mti kumshambulia mwenzake na kusababisha kifo chake. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Septemba 12, 2024, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Mtaki Kurwijila amesema watu…

Read More

Serikali kuzihamisha kaya 1,712 KIA ifikapo Juni

Hai. Serikali imesema shughuli ya kuzihamisha kaya 1,712 za wilaya za Arumeru mkoani Arusha na Hai mkoani Kilimanjaro, zinazodaiwa kuvamia ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) itakamilika Juni 2024. Kaya zinazopaswa kuondoka katika upande wa wilaya ya Hai ni 1,061 zilizopo viijiji vya Tindigani, Mtakuja, Chemka na Sanya Station, huku upande…

Read More

Mastaa Simba wampitisha Tshabalala | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba huenda wameshtushwa na taarifa za kuondoka kwa beki wa kushoto, Valentin Nouma, aliyeaga mapema tangu juzi kuonyesha hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa mashindano wa 2025-2026, huku nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ akiwa hajapewa mkataba. Tshabalala ni mmoja ya wachezaji waandamizi wa klabu hiyo ambao bado hajapewa mkataba mpya hadi…

Read More

Hati za kimila mwarobaini migogoro ya ardhi Kigoma

Kigoma. Hati miliki za kimila 500 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Kigalye na Mwamgongo, vilivyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, hatua  iliyotajwa itapunguza migogoro ya ardhi hasa ya ngazi za familia. Wakizungumza leo Jumapili Agosti 18, 2024 katika Kijiji cha Mwamgongo baada ya kupokea hati hizo zilizotolewa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la…

Read More