Tamasha la utamaduni lilivyobeba umati Ruvuma

Songea. Kama ungepita nje ya Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma, shangwe zinazosikika ungedhani kuna mchezo wa mpira wa miguu unaendelea. Nderemo na vifijo vinavyosikika vinaakisi furaha ya wananchi ndani ya uwanja huo, baada ya burudani mbalimbali za muziki na kitamaduni zinazopamba tamasha la tatu la utamaduni nchini. Isingewezekana kukaa hata sekunde bila kudemka, kwani kila…

Read More

Kabamba, Duah watimkia KenGold | Mwanaspoti

MABOSI wa KenGold wako katika harakati za kukisuka kikosi hicho ili kisishuke daraja na tayari wamemali-zana na aliyekuwa nyota wa Yanga Mzambia, Erick Kabamba na kiungo Mghana Stephen Duah aliyezichezea Stand United, Namungo na Kagera Sugar. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo ya jijini Mbeya inayoburuza mkiani mwa msimamo kwa pointi sita baada ya kushinda…

Read More

PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA 28

  Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza rasmi matokeo ya mitihani ya 28 ya PSPTB iliyofanyika kuanzia 13 Mei hadi 17 Mei, 2024 katika vituo sita vya mitihani Tanzania bara na Visiwani. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB Godfred Mbanyi amesema jumla ya watahiniwa wapatao 1,280 walisajiliwa ili kufanya…

Read More

Tanzania 19 yaifunga Uganda Kriketi

Tanzania imeanza vyema mbio za kusaka tiketi ya kucheza Kombe la Dunia kwa vijana wa chini ya miaka 19 baada ya kuifunga Uganda kwa mikimbio 73 katika mchezo uliopigwa jijini Lagos, Nigeria siku ya Jumapili. Ari na kujituma katika mazoezi yaliyowachukua miezi mitatu ndiyo kiini cha vijana wa Kitanzania kushinda mchezo huu. Tanzania ndiyo walioanza…

Read More

Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu Davids anapaswa kumtumia tofauti. Kocha huyo,  Raoul Shungu aliyasema hayo jana alipozungumza na Mwanaspoti kutoka DR Congo akieleza namna Simba ilivyolanda dume kumsajili…

Read More

Wafugaji, wakulima kupata bima | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati mchango wa sekta ya mifugo katika Pato la Taifa ukishuka kutoka asilimia saba mwaka 2021 hadi asilimia 6.7 mwaka 2022, Kampuni ya Bima ya CRDB na ACRE Africa zimesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kuikuza sekta hiyo. Takwimu za kushuka kwa mchango wa sekta hiyo, zimetolewa katika hotuba za…

Read More

Mashabiki wataja kete ya ubingwa Bara

WAKATI mashabiki wa Yanga wakichekelea matokeo ya sare waliyoipata watani zao, Simba dhidi ya Azam, mashabiki wa Wekundu wamesema suala la ubingwa bado wakitaja michezo ya kuamua hatima ya taji msimu huu. Jana Simba ikiwa wenyeji wa Azam waliambulia sare ya mabao 2-2 na kufanya Yanga kuendelea kubaki kileleni kwa pointi 55 licha ya kutangulia…

Read More