GEAY: Nini Boston Marathon! Ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walipewa nafasi kubwa ya kushinda. Hata hivyo, Geay ambaye alifanya vizuri mara mbili katika mbio hizo akimaliza wa nne mwaka 2022 kwa muda wa…

Read More

Fyatu mfyatuzi sasa kugombea urahis mwaka huu wa uchaguzi

Wapendwa mafyatu wangu. Leo, rasmi nafyatua kitu. Natangaza rasmi kuwa nitakuwa kwenye debe. Naazimia kuibadili kaya kwa kufanya yafuatayo: Mosi, nitabadili jina la kaya. Itaitwa Fyatuland na wananchi wake wataitwa mafyatu. Hivyo, kuanzia siku nitakapoapishwa kila kitu kitabeba jina langu. Sitakuwa wa kwanza kufanya hivi. Nenda kaulize kule Saudia. Imetokana na jina la fyatu Saudi…

Read More

Maandalizi Mkutano wa (EAMJA) Yakamilika kwa Asilimia Mia Moja Huku Nchi ya Uganda Ikiongoza Kwa ushiriki Mkubwa.

Na Jane Edward, Arusha  Maandalizi ya Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na mahakimu (EAMJA)kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki yamekamilika kwa asilimia mia moja,huku wageni kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakiendelea kuwasili huku nchi ya Uganda ikiongoza kwa uwakilishi wa zaidi ya majaji na mahakimu mia moja. Akizungumza na Waandishi wa…

Read More

Wananchi walalamikia rushwa kituo cha afya “walichukua zaidi ya laki mbili kumtibu “

Wananchi katika Kata ya Nyarugusu Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wamewatuhumu kwa kuwalalamikia Baadhi ya watumishi wa kituo cha afya Nyarugusu Kwa kuomba rushwa kwa Mgonjwa anayekwenda kupata matibabu pkituoni hapo bila kupewa stakabadhi ya Malipo huku wakiomba TAKUKURU kuchunguza watumishi hao. Wakizungumza katika Mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi…

Read More

Dk Biteko azindua bodi ya Tanesco akiagiza mambo sita

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amezindua rasmi Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), huku akitoa maelekezo sita. Miongoni mwa maelekezo hayo ni kuendeleza na kusimamia miradi ya kimkakati ya uzalishaji na usambazaji wa umeme ili kuhakikisha huduma ya umeme inaimarika na kuwafikia Watanzania wengi…

Read More

MKURUGENZI WA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI AAGIZA WAKANDARASI KUTOKA HARAKA KUMALIZA MRADI WA MKOMBOZI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa, amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi, Mkoani Iringa, kuongeza kasi katika ujenzi wa miradi hiyo. Mndolwa amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unaleta matokeo chanya kwa wakulima katika msimu ujao, na kuagiza wakandarasi kumaliza kazi hiyo hadi mwishoni mwa…

Read More