Serikali yaanza kumwaga fedha miradi ya barabara

Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imeanza kutoa fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara, hivyo hakutakuwa na kisingizio kwa makandarasi kutoikamilisha kwa wakati miradi hiyo. Waziri Ulega ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari 11, 2025 wakati akikagua ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Nachingwea – Ruangwa –…

Read More

Uchunguzi waibua mapya mwanablogu aliyefariki kituo cha polisi

Nairobi. Uchunguzi wa mwili umebaini kuwa Mwalimu na Mwanablogu wa Kenya, Albert Ojwang aliyefariki akiwa mikononi mwa polisi alipigwa kichwani na kifo chake huenda kilisababishwa na kupigwa. Daily Nation imeripoti kuwa ripoti hiyo inapingana na madai ya polisi kuwa mwanablogu huyo alijeruhiwa kichwani baada ya kujigonga ukutani akiwa mahabusu. Kifo chake kimezua ghadhabu kubwa nchini…

Read More

Timu za Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar

Mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi 2024/25 ni ruksa kwa timu ya Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar. Kasongo ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria semina inayoendeshwa na bodi hiyo. Kasongo amesema katika kanuni iliyofanyiwa mmaboresho kuelekea msimu mpya ni…

Read More

Dodoma Jiji yaua, Prisons sasa uhakika

MAAFANDE wa Tanzania Prisons imejihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupata sare ya 2-2 ikiwa ugenini mbele ya Namungo na kutuliza presha za mashabiki ambao mwanzoni mwa msimu waliishi kwa mawazo kutokana na timu kufanya vibaya. Matokeo hayo yameifanya Prisons kufikisha pointi 34 na kusalia nafasi ya tano nyuma ya KMC, hivyo…

Read More

Viongozi EAC, SADC walivyozungumzia kutatua mgogoro DRC

Dar es Salaam. Viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamezitaka pande zote zinazohusika katika mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kukubali kushiriki  majadiliano ili kuleta amani ya kudumu nchini humo. Viongozi hao wamebainisha hayo leo Februari 8, 2025 jijini Dar…

Read More