Hemed awakumbusha wazazi kuwalinda watoto kwenye sikukuu

Unguja. Wakati Waislamu wakishehereka sikukuu ya Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleimana Abdulla amewataka wazazi na walezi kuwavalisha watoto wao nguo zenye stara wakati wa kusherehekea sikuku hiyo. Hemed ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 16, 2024 wakati akizungumza na waumini na wananchi katika msikiti wa Mwembeshauri Mkoa wa Mjini Magharibi….

Read More

BARAZA LA MZEE SALIM: Hakuna Mtanzania aliye juu ya sheria

Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa.  Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika.  Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…

Read More

Jesca avunja rekodi ufungaji | Mwanaspoti

Mchezaji wa JKT Stars na timu ya wanawake ya Mkoa wa Dar es Salaam, Jesca Ngisaise amevunja rekodi ya kufunga pointi nyingi peke yake, ambapo alivuka kiwango kilichozoweleka cha pointi zisizozidi 50 kwa mchezo ambacho mastaa wengi hufikia. Hata hivyo, katika mashindano Taifa alifunga pointi 90 peke yake kati ya 172-58 walizoifunga Dodoma, huku mchezo…

Read More

Sababu ya Warriors Queens kujiondoa Cecafa

KATIBU Mkuu wa Warriors Queens ya Zanzibar, Neema Othman Machano amesema sababu ya kujiondoa kwenye mashindano ya Cecafa kwa wanawake ngazi ya klabu ni changamoto ya kifedha ikiwemo usafiri. Michuano hiyo ya kuwania nafasi ya kuuwakilisha Ukanda wa Cecafa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake ilianza juzi ambapo Tanzania ilitarajiwa kuwakilishwa na timu…

Read More

Hafidh: Mtibwa Sugar ni suala la muda Ligi Kuu

STRAIKA wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema siri ya kung’ara kwake kwenye Championship ni ushindani wa namba kikosini huku akielezea kuwa timu hiyo kurejea Ligi Kuu ni suala la muda tu. Hafidh aliyewahi kutamba na timu kadhaa za Ligi Kuu ikiwamo Coastal Union, Dodoma Jiji na Gwambina, ameonekana kuibeba zaidi Mtibwa Sugar akiipa matokeo mazuri…

Read More

Dili la Willy Essomba Onana Qatar latibuka

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mcameroon Willy Essomba Onana yuko katika hatua za mwisho za kukamilisha dili lake la kujiunga na Al Ahli Benghazi ya Libya, baada ya dili la kujiunga na Muaither ya Qatar kubuma. Nyota huyo aliyefunga mabao manne ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, ilielezwa angejiunga na Muaither inayoshiriki Ligi ya Qatar (Qatar…

Read More

MATUKIO; Rais Dkt. Samia Akizungumza na Washiriki wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akizungumza na Washiriki wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wakati wa ufunguzi wa Kikao hicho ukumbi wa Mikutano AICC Arusha leo August 28,2024. Fuatilia mitandao yetu ya kijamii  Instagram: @mamakajatz Twitter @mamakajatz Facebook: Mamakajatz YouTube: Mama kaja…

Read More

125 wakamatwa wizi, dawa za kulevya Shinyanga

Shinyanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amesema kuwa jumla ya watu 125 wamekamatwa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kwa tuhuma za makosa mbalimbali, yakiwemo wizi na ushiriki katika vitendo vinavyohusiana na dawa za kulevya. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi akizungumza na waandishi wa habari mkoani Shinyanga. Akizungumza…

Read More

Ngawina anogewa Singida FG akiwatega mabosi

BAADA ya kuiokoa Singida Fountain Gate isishuke daraja, Kocha Mkuu wa muda wa timu hiyo, Ngawina Ngawina amenogewa akisema msimu wa kwanza akifundisha timu ya Ligi Kuu umempa funzo kubwa huku akiwaachia msala mabosi wa timu kuendelea kumuamini ama kumpiga chini. Ngawina aliyeanza msimu huu kwa kuzifundisha timu za Ligi ya Championship, TMA ya Arusha…

Read More