
TANZANIA KATIKA MIKAKATI KUKABILI UVUNAJI HARAMU MISITU
Mhifadhi Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Dkt. Elikana John wakati akiwasilisha mada kwenye mkutano wa pembezoni mwa Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) unaofanyika Baku, Azerbaijan. Sehemu ya washiriki wakifuatilia wasilisho la Mhifadhi Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Dkt….