Magari yakwama, madereva walala njiani Kilolo

Iringa. Wakati madereva wakilia kulala njiani baada ya magari yao kukwama, Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga ameiomba Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (Tarura) kutengeneza maeneno korofi kwa kutumia zege ili barabara ziweze kupitike. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, hali ya barabara imezidi kuwa mbaya katika baadhi ya maeneo, jambo linalosababisha magari kukwama na wananchi…

Read More

Jangwani hapatoshi, Mbosso aipiga Aviola 

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la mataji matano, ikiwa ni hitimisho la msimu wa mafanikio kwa timu yao. Paredi hiyo ilianza mchana leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam,…

Read More

Kauli za wadau mjadala wa uendeshaji vivuko nchini

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu uendeshaji wa vivuko nchini, wengine wakishauri ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza vibinafsishwe kwa sekta binafsi, huku wengine wakipinga. Hayo yameelezwa leo Mei 29, 2024 kwenye mjadala ulioendeshwa na Mwananchi Space, ukiwa na mada isemayo ‘Nini kinaweza kuwa suluhu ya changamoto inayoikabili Temesa kuhusu huduma…

Read More

Waziri atoa miezi mitatu wakulima, wafanyakazi kiwanda cha Chai Mufundi walipwe stahiki zao

Iringa. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara nchini, Exaud Kigahe ametoa miezi mitatu kwa kampuni ya DL, inayoendesha kiwanda cha chai kilichopo Mufindi, kuhakikisha kuwa malipo ya wakulima na wafanyakazi wa kiwanda hicho yanakamilika kuanzia Aprili hadi Juni 2025. Kauli hiyo ilitolewa jana, Aprili 5, 2025, katika mkutano uliofanyika nje ya kiwanda hicho cha chai…

Read More

Majukumu ya mwenyekiti wa Serikali za mitaa, wajumbe wake

Dar es Salaam. Umewahi kujiuliza kwanini ni muhimu kupiga kura kumchagua mwenyekiti wa Serikali za mitaa na wajumbe wake katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024? Kama umewahi kujiuliza, kwa hiyo majukumu ya viongozi hao ndiyo sababu inayokulazimu kuhakikisha unashiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa Serikali za mitaa na wajumbe wake wana nafasi ya pekee katika…

Read More

Wawili kizimbani kwa kumiliki mijusi 226

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv WAFANYABIASHARA wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili za uhujumu uchumi kwa kukutwa na nyara za serikali ambazo ni Mijusi 226 Imedaiwa kati ya hao Mijusi 13 ni wakubwa na Mijusi aina Coud Grecko 213 walio hai. Katika hati…

Read More