Ajali ya ndege yaua 241 India, mmoja anusurika

Ahmedabad.  Mwaka 2025 umeendelea kuwa wa majanga kwa sekta ya usafirishaji wa anga duniani baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Air India yenye abiria na wahudumu 242 kuanguka eneo la makazi la Meghani Nagar nchini India. Ndege hiyo aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Ahmedabad India kuelekea jijini London nchini Uingereza…

Read More

Serikali yaanika mikakati maandalizi AFCON 2027

Serikali imesema inaendelea kufanya mazungumzo na wadau pamoja na wamiliki wa hoteli kubwa kwa ajili ya kuboresha hoteli hizo ili ziweze kukidhi viwango na hatimaye kuhudumia ugeni wa Fainali za Mpira wa Miguu Barani Afrika (AFCON 2027). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika mashindano hayo, Tanzania ni mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda baada…

Read More