Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000 Kwa Kaya, Wasio Na Uwezo Kugharamiwa Na Serikali
Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000…
Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000 Kwa Kaya, Wasio Na Uwezo Kugharamiwa Na Serikali – Global Publishers Home Habari Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000 Kwa Kaya, Wasio Na Uwezo Kugharamiwa Na Serikali …
Katika njia isiyo ya kawaida ya siasa za kimataifa, kisiwa cha barafu kikubwa zaidi duniani cha Greenland kimevutia tena hisia kali katika ngazi ya kisiasa ya kimataifa. Si tu kwamba historia yake ya kale inazungumzia ustaarabu wa binadamu waliojifunza kuishi katikati ya baridi kali, bali leo hii kisiwa hiki kimekuwa kitovu cha mjadala mkali wa…
KUNA mechi mbili za Ligi Kuu Bara zinachezwa leo Ijumaa zikihusisha timu zinazopambana kujiweka pazuri kwenye msimamo, huku KMC iliyoifuata TRA United, ikiwa katika mtego chini ya benchi jipya la ufundi.
SUALA la ukata limeendelea kuitesa Stand United ya Shinyanga na dirisha dogo zaidi ya wachezaji 10 wameondoka na wengine kugoma. Hali hiyo imelilazimisha benchi la ufundi na uongozi wa klabu hiyo kuja na mbinu mbadala za kupata wachezaji watakaokubali kucheza kwenye mazingira magumu yasiyo na uhakika wa kupata stahiki mwisho wa mwezi. Timu hiyo iko…
Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025 – Global Publishers Home Afya Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Awasili Mwanza, Kuzindua na Kukagua Miradi – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Awasili Mwanza, Kuzindua na Kukagua Miradi
Dodoma. Serikali imetangaza kuanza utekelezaji wa awamu ya kwanza ya Bima ya Afya kwa Wote (BAW), hatua inayolenga kuwaondolea mzigo wa gharama za matibabu wananchi wasio na uwezo wakiwemo wazee, watoto, wajawazito na watu wenye ulemavu, ambao gharama zao zitabebwa na Serikali. Waziri amesema Kitita cha Huduma Muhimu kwa awamu ya kwanza kitaanza kutumika Januari…
Watendaji Kituo Cha Uokozi Mwanza Watakiwa Kutoa Huduma Za Dharura Kwa Saa 24 – Global Publishers Home Habari Watendaji Kituo Cha Uokozi Mwanza Watakiwa Kutoa Huduma Za Dharura Kwa Saa 24
Makao makuu ya UNRWA huko Jerusalem Mashariki yalibomolewa na mashine nzito. Takriban Wafanyakazi 119 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina waliuawa mwaka wa 2025. Credit: UNRWA Maoni na Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kuhusu Usalama na Uhuru wa Utumishi wa Kimataifa wa Kiraia (umoja…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela, kwa pamoja wakizindua rasmi Ofisi ya Uwakilishi ya Benki ya CRDB Dubai. Hafla hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa…