Hizi Ndizo Sababu za Upungufu wa Nguvu Za Kiume… Dokta atoa Ushauri Huu
Hizi Ndizo Sababu za Upungufu wa Nguvu…
Hizi Ndizo Sababu za Upungufu wa Nguvu Za Kiume… Dokta atoa Ushauri Huu – Global Publishers Home Afya Hizi Ndizo Sababu za Upungufu wa Nguvu Za Kiume… Dokta atoa Ushauri Huu
:::::::: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta zitakazotumika nchini kuanzia Februari 4, 2026. Taarifa hiyo inaonesha kushuka kwa bei ya dizeli kwa kiwango kikubwa kwa mafuta yaliyopokelewa katika bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi…
Benki Kubwa Tanzania Zifanikisha Faida Ya Kihistoria, NMB na CRDB Kila Moja Sh1 Trilioni! – Global Publishers Home Habari Benki Kubwa Tanzania Zifanikisha Faida Ya Kihistoria, NMB na CRDB Kila Moja Sh1 Trilioni!
::::::: Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OWM- TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana na uwakilishi wa Benki ya NMB na kujadili namna wanavyoweza kufanya maboresho katika mchakato wa kutoa fedha za mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi kupitia taasisi hiyo ya kifedha….
::::::: Wadau kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa Masika 2026 na kutoa ushauri wa kisekta katika Mkutano wa 25 wa Wadau wa Sekta ya Hali ya Hewa katika msimu wa Masika uliofanyika tarehe 2/2/2026, Jijini Dodoma. Mkutano huo ni mwendelezo wa ushirikishwaji wa wadau katika utoaji wa taarifa za hali ya…
Na FARIDA MANGUBE, MOROGORO Baada ya mafuriko makubwa ya mwaka 2024 kukata mawasiliano na kuhatarisha maisha ya wananchi wa Kata ya Ngerengere, hali iliyosababisha adha kubwa ya usafiri na kudhoofisha shughuli za kiuchumi, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA mkoa wa…
Na Mwandishi Wetu, Tabora NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara,John Mongella, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ameshiriki katika ibada ya mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa mstaafu, Ndugu Nassor Hamdani. Mazishi hayo yamefanyika leo Februari 3,2026 katika makaburi ya Mihogoni, Kata…
Tume ya Ushindani (FCC) imeweka mikakati mbalimbali ya kuimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa wakati, kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa katika utekelezaji wa majukumu yake. Akizungumza wakati wa kikao kazi na watumishi wa Tume hiyo kwa lengo la kupanga mikakati ya utekelezaji wa majukumu, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Bi. Khadija Ngasongwa,…
::::::: Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Mirathi Tanzania (MITA) limepongezwa kwa kuanzisha programu ya utoaji elimu ya mirathi mashuleni ambayo inaenda kujenga msingi wa uelewa wa sheria kwa vijana wakiwa bado wadogo na kwenda kuwaelimisha na wengine. Pongezi hizo zimetolewa leo Februari 3, 2026 Kigamboni Jijini Dar es Salaam na Ofisa Tarafa Wilaya ya Kigamboni…
Na Mwandishi Wetu, Babati – Manyara. Maafisa Mawasiliano wa Serikali mkoani Manyara wametakiwa kujitathmini, kuimarisha weledi wao na kujipa thamani kazini ili kuongeza ufanisi wa vitengo vya mawasiliano na mchango wake katika utekelezaji wa shughuli za Serikali. Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Bw. Dominic Mbwette, wakati wa ufunguzi…