WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA

Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu Uthibitishaji na Uhakiki wa taarifa kwa waandishi wa habari Mkoa wa Geita.Mwezeshaji wa Mafunzo ya Kupambana na Habari Potoshi (Fake News), Misinformation na Disinformation, Kadama Malunde – Mkurugenzi wa Malunde 1 Blog akifundisha mbinu za uthibitishaji…

Read More

Nani Kukupatia Pesa Kwenye UEFA Leo?

PESA iko nje nje leo hii kwenye mechi za UEFA ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Qarabag FK ya Azerbaijan watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Newcastle United kutoka Uingereza ambao kwenye mashindano haya ya Ligi ya Mabingwa…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akipaka majivu katika Ibada ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu, Paul wa Msalaba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma leo tarehe 18 Februari 2026. Ibada ya Jumatano ya Majivu ni mwanzo wa kipindi cha Kwaresma ambacho hutumika na waumini wa…

Read More

Vijana waandaliwa kutumia fursa za kidigitali

Dar es Salaam. Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamejengewa uwezo juu ya namna wanavyoweza kujiandaa kikamilifu kutumia fursa za uchumi wa kidijitali kupitia programu ya Smart Elite Initiative iliyozinduliwa. Uzinduzi wa Smart Elite Initiative umefanywa na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, leo Jumatano, Februari 18 mwaka huu jijini Dar es…

Read More

MBUNGE WA MOSHI MJINI ANUSURIKA KIFO , AJALI YA GARI

 :::::::: Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Ibrahimu Shayo, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka mara kadhaa na kutumbukia korongoni katika eneo la Kirinjiko, Wilaya Same, mkoani Kilimanjaro.  Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ajali hiyo ilitokea wakati akiwa kwenye ziara ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba.  Msafara huo ulitokea Same kuelekea…

Read More

Veta kutoa diploma ya ‘house girl’ 

Dar es Salaam.  Wafanyakazi wa ndani ‘ma- house girl’ au mayaya,  wameanzishiwa mafunzo ya ngazi ya diploma yatakayowawezesha kuwa na elimu ya namna ya kulea watoto, wazee, kuandaa vyakula na kutandika vitanda. Mtalaa huo kwa wadada wa kazi umeanzishwa ili kupambana na changamoto kadhaa ikiwamo ya kukosa weledi wa namna ya kufanya kazi zao. Kuanzishwa…

Read More