Nini Kinachohitajika Kuondoa Ugonjwa katika Visiwa vya Pasifiki – Masuala ya Ulimwenguni
Dk Anasaini Cama wa Wakfu wa Fred Hollows aendesha mafunzo ya magonjwa ya kitropiki katika…
Dk Anasaini Cama wa Wakfu wa Fred Hollows aendesha mafunzo ya magonjwa ya kitropiki katika Visiwa vya Solomon. Credit: Shea Flynn/RTI International na Catherine Wilson (sydney, australia) Jumatano, Februari 25, 2026 Inter Press Service SYDNEY, Australia, Februari 25 (IPS) – Mataifa mawili ya Visiwa vya Pasifiki yamepongezwa kwa mafanikio yao katika kampeni ya kimataifa ya…
Na Pamela Mollel, Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, ameonyesha kuridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea katika Jiji la Arusha, akisema kasi iliyopo inaleta matumaini mapya kwa wananchi. Katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa stendi kuu ya mabasi katika eneo la Bondeni City,Waziri…
MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji, Dodoma Jiji dhidi ya Simba, imemalizika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku ikishuhudiwa pambano hilo lililokuwa la kuvutia kutokana na ushindani tangu mwanzoni likiisha kwa suluhu (0-0). Mechi hiyo iliyokuwa na kasi kubwa huku ikitawaliwa na ushindani wa hali ya juu, ilishuhudiwa Simba ikitengeneza nafasi nyingi…
::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa Tuzo za ubunifu kwa washindi 9 waliotoa mawazo bora zaidi yatakayosaidia kuendelea kuboresha huduma za kodi na kuongeza wigo wa kodi. Akikabidhi tuzo hizo, vyeti pamoja na hundi kwa washindi hao Februari 25.2026, Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar ameipongeza TRA kwa kuja na Tuzo hizo…
:::::::: Waziri wa Fedha, Balozi Dk. Khamis Mussa Omar, amekabidhi rasmi magari mapya 72, pamoja na mawili kati ya 10 ya ofisi zinazotembea (“Mobile Tax Office Vehicles”), kwa mamlaka ya TRA. Magari haya yamenunuliwa kwa gharama ya jumla ya shilingi bilioni 24.8 na lengo kuu ni kuongeza ufanisi wa huduma za ukusanyaji wa kodi na…
……. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imetenga Shilingi bilioni 5 kufadhili wanafunzi 20 wa Shahada ya Uzamili katika fani za Sayansi Takwimu (Data Science), Akili Unde (Artificial Intelligence) na Sayansi Shirikishi kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended (SSE DS/AI+), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taifa kuimarisha rasilimali watu katika teknolojia za kisasa. Wanafunzi 10…
::::::: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Mashindano Makubwa ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu yatakayofanyika Jumapili, Machi 1, 2026. Katika mashindano hayo, Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuwa Mgeni Maalum. Tukio hilo linasimamiwa na Alhikma Foundation. Akizungumza na waandishi wa habari katika…
Meneja wa Ukaguzi wa Sekta za Umma, kutokea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Rosemary Ruganuza,amezitaka taasisi za sekta ya umma kutumia kwa usahihi Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) ili kuongeza uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Serikali. Kauli hiyo ameitoa leo Februari 25 Jijini Dodoma…
WANANCHI wa Kata ya Mzenga na Mafizi wamepongeza hatua ya Mbunge wao, Dkt. Selemani Jafo, kusimamia binafsi ujenzi wa Daraja la Kitomondo hadi usiku, wakisema imeongeza kasi na uwajibikaji kwa mkandarasi. Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Mafizi, mmoja wa wazee wa eneo hilo, Ramadhani Zungwe amesema si jambo la kawaida kwa kiongozi kubaki…
Dar es Salaam. Katika historia ya Kanisa Katoliki Tanzania, jina la Polycarp Kardinali Pengo limebeba uzito mkubwa wa kiroho; hata hivyo, nyuma ya mavazi yake ya ukardinali kuna simulizi ya familia iliyomlea na kumshuhudia akipanda ngazi za utumishi wake. Hadi Kardinali Pengo anastaafu, amelitumikia kanisa kwa jumla ya miaka 54 akiwa padri. Miaka 42 ametumika…