KAMATI YAAGIZA LATRA KUWABANA WANAOHUJUMU MIFUMO YA UDHIBITI
:::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Udhibiti…
:::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) katika kusimamia mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji wa mabasi, ikisema hatua hizo zimeanza kuleta matokeo chanya katika kudhibiti ajali barabarani. Akizungumza jijini Dar es Salaam baada ya ziara ya kikazi katika ofisi za mamlaka hiyo, Kaimu Mwenyekiti…
Katika jarida la hivi punde la Wazee, Helen Clark inaakisi Davos, Bodi ya Amani ya Rais Trump, na uharaka wa kurudisha nyuma dhidi ya “uwezo ni sawa.” Maoni na Helen Clark (Wellington, New Zealand) Jumatatu, Februari 16, 2026 Inter Press Service WELLINGTON, New Zealand, Februari 16 (IPS) – 2026 imeanza katika hali ya kutatanisha sana….
……….. Na Saidi Lufune, Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amehimiza Idara ya Maliakale kuongeza ubunifu katika kutangaza vivutio vya maliakale na makumbusho ya kihistoria ili kuvutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchini. Mhe. Chande amebainisha hayo jijini Dodoma katika kikao kazi na Idara ya Malikale ambapo…
Dar es Salaam. Waislamu na Wakristo duniani wanatarajia kuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani na Kwaresma kuanzia Februari 18, 2026. Kufunga ni ibada ya muda mrefu inayotekelezwa na wafuasi wa dini mbalimbali pamoja na makundi mengine ya kijamii. Sababu za kufunga hutofautiana; baadhi hufuata mafundisho ya dini zao, huku wengine wakizingatia ushauri wa kitabibu….
Tabora. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuharakisha utoaji wa fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) wilayani Nzega mkoani Tabora. Agizo hilo limetolewa leo Jumatatu, Februari 16, 2026 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi wakati…
Dar es Salaam. Ni matumbo joto kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, baada ya Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba kuipa kazi Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza baadhi ya watumishi kwa wizi wa vifaa vya ujenzi, akisema yeyote atakayebainika amepoteza kazi. Dk Mwigulu amezitaka taasisi hizo…
Dar es Salaam. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imezindua Kamati ya Ushauri wa Kisheria ngazi ya mkoa na wilaya katika Mkoa wa Dar es Salaam. Uzinduzi huo umefanyika leo Februari 16, 2026 na kufuatiwa na Kliniki ya Sheria inayoanza leo hadi Februari…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya kiuhamiaji. Hati hiyo ya Makubaliano imelenga kuondoleana hitaji la visa kwa Pasipoti za kidiplomasia na za kiutumishi pamoja na mashirikiano katika masuala ya uhamiaji baina ya nchi hizo mbili. Hati hiyo ya Makubaliano…
-Pia awasilisha Salamu za Pole za Rais Dkt. Samia kwa waliofariki kwenye Machimbo, Korogwe. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amehani msiba wa Idrissa Zubeir Bin Ali (58) ambaye ni mdogo wake Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakary Zubeiry bin Ally ambae amefariki Februari 15, 2026 katika Hospitali ya Muhimbili Dar Es salaam. Akiwa…
-Ni wa vifaa vya ujenzi jengo la Halmashauri ya Wilaya -Zimo nondo 700, Marine boards 500 na matofali 2,000 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza wajumbe wa Kamati Mapokezi na Kamati za Ujenzi za mradi wa ujenzi wa ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza wakamatwe na kuhojiwa mara moja ili watoe taarifa juu ya…