Ufikiaji wa Kibinadamu Unaporomoka Kadiri Mgogoro wa Kisiasa na Usalama wa Yemen Unavyozidi Kuongezeka – Masuala ya Ulimwenguni

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lakutana kuhusu hali ya Yemen. Credit: UN Photo/Evan Schneider na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumatano, Februari 04, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Februari 4 (IPS) – Katika wiki za hivi kaŕibuni, mgogoŕo wa kibinadamu wa Yemen umezidi kuwa mbaya zaidi, kwani kuongezeka kwa uhaba wa…

Read More

MIKATABA ILINDE MASLAHI MAPANA YA NCHI NA WANANCHI

………… Na Sixmund Begashe, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewataka viongozi na wataalam wa wizara na Taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo, kuzingatia uzalendo na manufaa ya nchi kabla ya kusaini mikataba ya uwekezaji katika sekta za uhifadhi na utalii ili kuwawezesha Watanzania kunufaika na Maliasili za Taifa.  Dkt….

Read More

Moruwasa yalia na wezi, wachimba madini vyanzo vya maji

Morogoro. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Morogoro (Moruwasa), Sais Kyejo amesema licha ya kuwepo kwa jitihada mbalimbali za kuboresha huduma, uchepushaji na wizi wa maji kwa baadhi ya wateja ni moja ya changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kwa muda mrefu. Kyejo ameyasema hayo leo Februari 4, 2026, wakati…

Read More

Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

Dar es Salaam. Watanzania wenye shida ya macho kama mtoto wa jicho, presha ya macho, kutokuona mbali wameitwa kwenda kufanyiwa uchunguzi kisha kupata matibabu ikiwemo upasuaji na kupewa miwani bure. Neema hiyo imetangazwa leo Jumatano Februari 4, 2026 na Mkurugenzi wa kliniki ya macho ya Optical Center, Dk Mkunde Kibwana itakayofanyika Kawe Dar es Salaam…

Read More

UDP CHAPINGA VIKALI KUVUNJWA MABARAZA YA ARDHI⁹

…….. CHATO SIKU Chache baada ya Jaji mkuu wa Tanzania, George Masaju, kupendekeza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi na nyumba, mabaraza ya Kata pamoja na Kamati za maadili za mahakimu ambazo zipo chini ya wakuu wa wilaya na mikoa, Chama Cha United Democratic Party (UDP) kimepinga vikali mapendekezo hayo. Kinasema kuvunjwa kwa mabaraza hayo kutasababisha…

Read More