Polisi mbeya kudhibiti madereva wasio na leseni

Mbeya.  Ili kumaliza tatizo la ajali mkoani Mbeya, Jeshi la Polisi limesema litaanzisha operesheni maalumu kuwabaini na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya waendesha vyombo vya moto wasio na leseni. Hatua hii inakuja kufuatia kushirikiana na Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) mkoani humo kuanzisha mafunzo ya udereva wa awali yatakayodumu kwa mwezi mmoja. Mkoa wa…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAMPA TANO RAIS SAMIA KWA MAKUMBUSHO YA JIOPAKI YA NGORONGORO LENGAI

……………….. Na Sixmund Begashe, Karatu Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imetaka Makumbusho mpya ya Urithi Jiopaki iliyopo katika mradi wa Jiopaki ya Ngorongoro Lengai Wilayani Karatu kutumika kama zao jipya la utalii litakaloongeza idadi ya siku kwa wageni wanaotembelea vivutio vya utalii hapa nchini.  Maelekezo hayo yametolewa na Mwenyekiti wa…

Read More

Mahakama ya Rufani yabatilisha hukumu ya kifo, yaamuru kesi isikilizwe upya

Arusha. Mahakama ya Rufani ya Tanzania imebatilisha hukumu ya kifo iliyokuwa imetolewa dhidi ya Richard Bahati, baada ya kubaini kasoro kubwa za kisheria katika mwenendo wa usikilizwaji wa kesi hiyo. Mahakama imejiridhisha kuwa shahidi muhimu katika kesi hiyo, aliyekuwa mlalamikaji wa jaribio la mauaji, hakuelewa lugha ya Kiswahili ambayo ndiyo lugha ya Mahakama, huku rekodi…

Read More

Kamati ya bunge yahimiza kasi maboresho bandari ya Tanga

📍Yasifu uwekezaji wa shilingi bilioni 429 NA MASHAKA MHANDO, Tanga Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiashauri Serikali kuongeza kasi ya utatuzi wa changamoto za miundombinu wezeshi katika Bandari ya Tanga, ili kuendana na kasi ya ongezeko la shehena na meli kubwa zinazoingia bandarini hapo kufuatia maboresho makubwa yaliyofanyika. Ushauri huo umetolewa Leo Machi…

Read More

KATIBU TAWALA SINGIDA ‘AWAFUNDA’ WATUMISHI WA TARURA

‎Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga amewataka watumishi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Singida kutambua kuwa sekta ya barabara ni kiungo muhimu cha maendeleo ya sekta nyingine kama elimu, afya na uchumi, hivyo wanapaswa kutekeleza majukumu yao kwa bidii na weledi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora….

Read More

DC MSANDO AKABIDHI MAGARI MAWILI TANESCO

MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amesema amekabidhi magari mawili kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni muendelezo wa jitihada zinazokufanywa na serikali katika kuhakikisha inaimarisha miundombinu na kuongeza ufanisi na uhakika wa upatikanaji wa huduma ya nishati ya umeme nchini. Msando amekabidhi magari hayo leo wilayani Ubungo mkoani Dar es Salaam, kwa…

Read More

Mahakama Kuu yahalalisha Tume ya matukio ya Oktoba 29

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeidhinisha uhalali wa  Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya  Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, baada ya kutupilia mbali shauri lililokuwa likipinga uhalali wake. Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa, Machi 13, 2026 na Jaji Awamu Mbagwa, aliyesikiliza…

Read More

Rais Samia Atoa Pole Vifo, Ajali Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Nyakoro Sirro, kufuatia vifo vilivyotokana na ajali mbili tofauti zilizotokea asubuhi ya Machi 13, 2026 katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu, ajali ya kwanza ilihusisha boti iliyokuwa imewabeba watumishi wa afya waliokuwa wakisafiri kutoka…

Read More