SERIKALI YAPUNGUZA ADA ZA LESENI KWA WATOA MAUDHUI MTANDAONI, KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIGITALI
…………. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza kwa kiasi…
…………. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza kwa kiasi kikubwa ada za leseni kwa watoa huduma na wakusanya maudhui mtandaoni, hatua inayolenga kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikikabili sekta hiyo na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa kidigitali. Hatua hiyo imetangazwa leo Februari 12, 2026 jijini Dodoma na Naibu Waziri…
NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amesema Serikali imejipanga kikamilifu kutumia Teknolojia ya Akili Mnemba (Artificial Intelligence – AI) ili kuongeza ufanisi, kasi na ubora wa utoaji huduma kwa wananchi, kufuatia mabadiliko makubwa ya kidunia katika sekta ya teknolojia. Daudi aliyasema hayo jijini Dar…
Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru ameongoza kikao cha kimkakati kilichojumuisha waheshimiwa Madiwani, Viongozi wa Mila, watendaji wa kata, wenyeviti wa Vijiji na watendaji wa vijiji kwa lengo la kudumisha mahusiano na uboreshaji wa huduma za kijamii na uboreshaji wa shughuli za…
SERIKALI imetangaza neema ya kihistoria kwa wanablogu, vijana wabunifu, na watoa maudhui mtandaoni nchini kwa kupunguza ada za leseni kwa kiwango kikubwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali na kurasimisha shughuli za wahabarishaji wa mitandao. Hatua hiyo imekuja kufuatia utafiti wa kina na mikutano ya kimkakati ya takribani mwaka mzima kati ya mtandao…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji 2026 umeanza rasmi jijini Dodoma kwa mijadala mizito inayolenga kuimarisha sekta ya utangazaji nchini. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza leo Februari 12, 2026 unatarajiwa kuhitimishwa kesho Februari 13, 2026. Mkutano huo umeandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ukishirikisha wadau mbalimbali wa…
Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari kwamba ufikiaji wa mji huo umekuwa “mgumu sana kutokana na kuendelea kwa mapigano.” Kati ya watu 10,000 walioishi hapo kabla ya uvamizi kamili mnamo Februari 2022, ni watu 500 tu waliosalia, “wengi wao wakiwa wazee na watu wenye ulemavu.” Kulingana na mamlaka ya Ukraine,…
……….. . Na Carlos Claudio, Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewahamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki fursa za zabuni za serikali kupitia mfumo wa NeST, ikisisitiza kuwa zaidi ya shilingi trilioni tano zimetengwa mahsusi kwa ajili ya makundi maalum yakiwemo vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu. Akizungumza leo Februari 12,…
Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Profesa Peter Msoffe amewataka wataalamu wa bioteknolojia kuangalia namna wanavyoweza kutumia fursa zinazoweza kupatikana katika takataka ili waweze kujiajiri. Ametoa kauli hiyo wakati akifungua semina ya wadau wa bioteknolojia na mkutano wa mkuu wa mwaka wa chama cha…
Mambo Yaanza Kunoga Mlimani City Tuzo za Creators – Global Publishers Home Habari Mambo Yaanza Kunoga Mlimani City Tuzo za Creators
Mkuranga. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza kuondolewa kwa misamaha ya kodi kwa bidhaa zinazoingizwa kutoka nje ya nchi ambazo zinazalishwa nchini kwa kiwango cha kutosha, akisisitiza hatua hiyo ni muhimu kulinda viwanda vya ndani, ajira za Watanzania na ustawi wa uchumi wa Taifa. Maelekezo hayo ameyatoa leo Alhamisi Februari 12, 2026 wilayani…