TAKUKURU (M) KINODNONI YAFUATILIA MATUMIZI YA FEDHA MIRADI YA SHILINGI BIL. 5
…………….. Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni imefuatilia matumizi ya…
…………….. Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni imefuatilia matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo miwili katika sekta ya miundombinu yenye thamani ya Shilingi Bill 5. Akizungumza jijini Dar es salaam wakati akiwasilisha mafanikio ya utendaji kazi kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025,Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni Christian…
Arusha. Tanzania imeanza mchakato wa kujadili jinsi ya kurudi katika itifaki muhimu inayoruhusu watu binafsi kushtaki Serikali moja kwa moja mbele ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR). Kwa mujibu wa Ibara ya 34(6) ya Itifaki, nchi wanachama za nchi za umoja wa Afrika, nchi wanachama zinatakiwa kutoa tamko la hiari…
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi katika siku 3 zilizoandaliwa kuanzia tarehe 4 hadi 6 Machi 2026 katika viwanja vya Nyerere Square kwani Taasisi zote za Umma zitakuwepo hapo kwaajili ya jambo hilo. Mhe Senyamule ameyasema…
Dodoma. Serikali imeanzisha kliniki maalumu ya ardhi kwa lengo la kuwasaidia wanawake kutatua changamoto za umiliki wa ardhi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 8 mwaka huu. Akizungumza leo Jumatatu Machi 2, 2026 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nyumba, Ardhi na Maendeleo…
Muungano wa picha / Anadolu | Zed Jameson. Chanzo: Siasa za Kimataifa na Jamii Maoni na Bert Hoffmann (berlin, Ujerumani) Jumatatu, Machi 02, 2026 Inter Press Service Mafuta yanapokauka huko Havana, kizuizi cha Trump kinahatarisha maafa ya kibinadamu na hali mpya hatari. Artikel auf Deutsch lesen BERLIN, Ujerumani, Machi 2 (IPS) – Mgogoro huo unaweza…
Na WAF-Korogwe Mganga Mkuu wa mkoa wa Tanga Dkt. Japhet Simeyo amesema kikao kazi cha tathmini ya matukio na athari za kiafya kitawajengea uwezo wataalam kwenye mkoa huo ili wawe tayari kuzuia na kukabiliana na majanga yatokanayo na dharura. Dkt. Simeyo ameyasema hayo kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga leo Machi 02,…
Mtwara. Katika juhudi za kuendelea kuwezesha vijana jukwaa la vijana nchini limezinduliwa mkoani Mtwara limefunguliwa mahususi kutoa elimu ya fedha na mafunzo ya ujasiriamali yatakayowasaidia kujishughulisha kiuchumi na kujiingizia kipato. Ufunguzi wa jukwaa hilo linalowaunganisha vijana nchi nzima ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation. Katika uzinduzi huu ulioongozwa na…
Iringa. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imezindua rasmi mbegu za miche ya viazi lishe, hatua inayolenga kuimarisha usalama wa chakula, kuboresha lishe na kuongeza kipato cha wakulima wa mkoa huo. Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatatu Machi 2, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kuongozwa na…
Musoma. Serikali ya Mkoa wa Mara imeomba Sh16 bilioni kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kugharamia matengenezo makubwa ya dharura ya barabara zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) mkoani humo. Ombi hilo limechochewa na uharibifu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, ambazo zimeelezwa kuwa hazikutarajiwa kwa…
Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara, Samwel Gunzah ambaye ni mfungwa amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, mkoani Dodoma. Gunzah alihukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kosa la rushwa na kutumia madaraka yake vibaya Septemba 18, 2025. Taarifa za kifo chake zilianza kusambaa mitandaoni hususan mkoani…