WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akizungumza wakati…
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu Uthibitishaji na Uhakiki wa taarifa kwa waandishi wa habari Mkoa wa Geita.Mwezeshaji wa Mafunzo ya Kupambana na Habari Potoshi (Fake News), Misinformation na Disinformation, Kadama Malunde – Mkurugenzi wa Malunde 1 Blog akifundisha mbinu za uthibitishaji…
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimeiomba Serikali kurasimisha lugha ya alama ili iwe lugha rasmi ya mawasiliano Tanzania sambamba na Kiswahili na Kiingereza, kwa lengo la kuwawezesha watu wenye uziwi kuwasiliana na kupata huduma sawa na wananchi wengine. Mwenyekiti wa chama hicho Selina Edward, ametoa ombi hilo wakati wa warsha…
MERIDIANBET Tanzania inakuletea burudani ya kipekee na hisia za upendo kupitia mchezo wake mpya wa kasino, Gates of Love. Mchezo huu umeundwa kwa msisimko wa kiwango cha juu, ukiunganisha mandhari ya Valentine yenye rangi za kupendeza na fursa za kushinda hadi mara x5,000 kwa mzunguko mmoja. Kwa wapenzi wa michezo ya sloti, Gates of Love…
PESA iko nje nje leo hii kwenye mechi za UEFA ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Qarabag FK ya Azerbaijan watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Newcastle United kutoka Uingereza ambao kwenye mashindano haya ya Ligi ya Mabingwa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akipaka majivu katika Ibada ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu, Paul wa Msalaba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma leo tarehe 18 Februari 2026. Ibada ya Jumatano ya Majivu ni mwanzo wa kipindi cha Kwaresma ambacho hutumika na waumini wa…
Dar es Salaam. Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamejengewa uwezo juu ya namna wanavyoweza kujiandaa kikamilifu kutumia fursa za uchumi wa kidijitali kupitia programu ya Smart Elite Initiative iliyozinduliwa. Uzinduzi wa Smart Elite Initiative umefanywa na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, leo Jumatano, Februari 18 mwaka huu jijini Dar es…
:::::::: Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Ibrahimu Shayo, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka mara kadhaa na kutumbukia korongoni katika eneo la Kirinjiko, Wilaya Same, mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ajali hiyo ilitokea wakati akiwa kwenye ziara ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba. Msafara huo ulitokea Same kuelekea…
Dar es Salaam. Wafanyakazi wa ndani ‘ma- house girl’ au mayaya, wameanzishiwa mafunzo ya ngazi ya diploma yatakayowawezesha kuwa na elimu ya namna ya kulea watoto, wazee, kuandaa vyakula na kutandika vitanda. Mtalaa huo kwa wadada wa kazi umeanzishwa ili kupambana na changamoto kadhaa ikiwamo ya kukosa weledi wa namna ya kufanya kazi zao. Kuanzishwa…
TRA Yafungua Kituo Kipya cha Huduma Masaki Kusogeza Kodi Karibu na Wananchi – Video – Global Publishers Home Habari TRA Yafungua Kituo Kipya cha Huduma Masaki Kusogeza Kodi Karibu na Wananchi – Video
Salum Mwalim wa CHAUMMA Afunga Ndoa na Moza Ally – Global Publishers Home Burudani Salum Mwalim wa CHAUMMA Afunga Ndoa na Moza Ally