MWANAMKE NDIYE MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII
Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya…
Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, na utunzaji wa familia huku akiwahimiza walimu kushirikiana katika malezi ya watoto shuleni. Na Neema Nkumbi, Kahama Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela, amesema mwanamke ndiye chanzo cha maadili katika jamii, huku…
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoameshuhudia uapisho wa wajumbe wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya na kuwataka wajumbe hao kutenda haki kuacha kutoa maamuzi ya kuwafurahisha watu wakati wa kusikiliza mashauri ya ardhi. Uapisho huo umeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Donald Wilson Msengi, na kufanyika leo tarehe 7…
JUMLA ya wanawake 1916 wamefika katika viwanja vya Ofisi za Ardhi kufuatilia hati zao za ardhi na kupata huduma mbalimbali za masuala ya umiliki wa ardhi kupitia programu maalumu ya Samia Ardhi Kliniki inayofanyika Mkoa wa Dodoma. Wanawake hao wamejitokeza kwa wingi kupata elimu kuhusu haki za umiliki wa ardhi, ushauri wa kitaalamu pamoja na…
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Kampasi ya Tanga leo tarehe 7 Machi 2026 kimetekeleza shughuli ya kutoa huduma kwa jamii kwa kutembelea Kituo cha Afya Ngamiani kilichopo jijini Tanga. Katika ziara hiyo, chuo kimetoa msaada wa vifaa tiba pamoja na mahitaji mbalimbali ya msingi kwa watoto waliopo katika wodi ya wazazi. Sambamba…
Wanawake wachimbaji madini Mkoani Geita wamehimizwa kutumia fursa za mikopo inayotolewa na Serikali kupitia benki ya NMB ili kukuza na kuinua shughuli zao za uchimbaji na biashara zinazohusiana na sekta ya madini. Wito huo umetolewa leo Machi 07, 2026, Mkoani humo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,…
Wakati mwaka huu Siku ya Kimataifa ya Wanawakeinayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi, inaangazia haki, mifumo inayokusudiwa kuwalinda wanawake na wasichana inashindwa, huku mamilioni wakikabiliwa na ubaguzi, unyanyasaji na kutoadhibiwa huku upinzani dhidi ya usawa wa kijinsia ukiongezeka na ukiukwaji wa haki za msingi kuongezeka duniani kote, kulingana na ripoti mpya iliyotolewa kutoka UN Women….
JE unajua kuwa muda wako wa kushinda pesa na Meridianbet umefika?. Mechi zote ambazo wewe unazitaka zipo huku kwa dau lako dogo tuuh unajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA itaendelea kwa michezo kadhaa ambapo Levante atamualika kwake Girona ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 9. Mwenyeji yupo nafasi…
LICHA ya kipa namba moja wa Dodoma Jiji, Ally Salim kukosekana uwanjani kutokana na majeraha ya bega, lakini kocha Amani Josiah amesema hatakuwa na haraka ya kumtumia, kwani lengo ni kumuona akiwa fiti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah amesema kipa huyo anaendelea na programu maalumu ya madaktari wa kikosi hicho, ingawa muda si mrefu mashabiki…
WINGA wa Coastal Union, James Msuva amesema bado anahitaji muda kuzoea mazingira ya timu mpya akieleza kuwa kujiunga na kikosi hicho katikati ya msimu kimempa shida kidogo. James alijiunga na Wana Mangushi kufuatia kuachana na KenGold mwishoni mwa msimu uliopita na baadae kutambulishwa Coastal kipindi cha dirisha dogo la usajili lililofunguliwa Januari 1, 2026 na…
WAKATI kesho Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani, waasisi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), wamekutana na kukumbushia safari ya mafanikio ya chama hicho na kuhamasisha kizazi kipya cha wanahabari wanawake kuendelea kupambana. Waasisi hao walikutana katika tukio maalum la futari lililofanyika jana Ijumaa Machi 6, 2026 kwenye ukumbi wa TAMWA…