MAKAMU WA RAIS AELEKEA NCHINI GUINEA YA IKWETA
………….. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi,…
………….. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 26 Machi 2026 amewasili Jijini Malabo nchini Guinea ya Ikweta, ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,…
Katika hatua inayoonyesha dhamira yake ya dhati ya kuinua sekta ya kilimo nchini, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha kwa mafanikio makubwa msimu wa nne wa kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’, kwa kukabidhi zawadi kuu ya trekta kwa mshindi mkuu – Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU). Kampeni hiyo iliyozinduliwa…
• TBL na viongozi wa jiji waungana kulinda mifumo ya maji taka Dar es Salaam • Kampeni ya usafi inaonyesha utekelezaji wa vitendo wa ahadi za uendelevu na uwajibikaji kwa jamii • Ushirikiano unaonesha athari halisi ya kimazingira pale biashara inaposhirikiana na jamii. Tanzania Breweries PLC (TBL PLC) imeadhimisha Siku ya Maji Duniani kwa kuchukua…
****** Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya vijana 34 wanufaika wa mpango wa Samia Scholarship Extended DS/AI+ wanatarajiwa kupata punguzo la ada ya masomo kwa asilimia 50 katika Chuo Kikuu cha Limerick nchini Ireland, kufuatia makubaliano yaliyotiwa saini Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam. Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Serikali kupitia Wizara…
Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Dar es Salaam – Msanii na mchekeshaji maarufu, Juma Lokole, amegusa hisia za mashabiki baada ya kuonekana akimwaga machozi ya furaha kufuatia kupewa zawadi ya gari katika sherehe ya siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo la kipekee limefanyika katika hoteli ya kifahari ya Serena Hotel, ambapo Lokole alikuwa…
Na Elimu ya Afya kwa Umma SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika Mkutano wa Waziri wa Afya na wataalam wa tiba asili, Mkurugenzi wa Huduma za…
Bakari Mahundu March 26, 2026 0 Comments Meneja wa timu ya Simba SC, Patrick Rweyemamu, amefafanua kuwa suala linalomhusu mchezaji Sowah ndani ya klabu hiyo bado linaendelea kushughulikiwa na Kamati ya Nidhamu ya klabu. Rweyemamu amesema kuwa kamati hiyo inaendelea kupitia kwa kina tukio hilo kabla ya kufikia maamuzi ya mwisho, akisisitiza kuwa uongozi wa…
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Khamis Mussa Omar umza wakati wa mkutano huo uliofanyika leo Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam wakati kujadiliana juu ya uwekezaji na biashara yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 7.8 nchini Tanzania katika mkutano wa Bodi ya taasisi hiyo. AFRICAN Trade & Investment Development Insurance (ATIDI) imejadili uwekezaji na…
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Khamis Mussa Omar umza wakati wa mkutano huo uliofanyika leo Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam wakati kujadiliana juu ya uwekezaji na biashara yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 7.8 nchini Tanzania katika mkutano wa Bodi ya taasisi hiyo. AFRICAN Trade & Investment Development Insurance (ATIDI) imejadili uwekezaji na…
Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya amesema mvua kubwa iliyonyesha usiku wa Machi 24 imesababisha kukatika kwa barabara kuu ya Ifakara – Mlimba katika maeneo ya Mbingu, Chita na Njage, hali iliyosababisha magari, yakiwemo mabasi ya abiria kushindwa kupita. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya barabara hiyo iliyoharibika leo Alhamisi Machi 26, 2026,…