HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo Diploma

Na: Mwandishi Wetu, DAR Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stashahada (Diploma) katika kozi za vipaumbele wanaotarajiwa kudahiliwa mwezi Machi, 2026. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk. Bill Kiwia, Jijini Dar es Salaam ambapo dirisha la maombi…

Read More

Azam FC, kama Singida Shirikisho Afrika

AZAM FC leo imekamilisha ratiba ya meci za makundi kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini mbele ya Wydad AC ya Morocco na kuunganana na Singida Black Stars kung’oka katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wawakilishi hao wa Tanzania walikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mohammed V, Casablanca ambapo licha ya kukomaa na kwenda…

Read More

TRA yaanza kufanyia kazi maagizo ya Rais Samia

Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitaka mamlaka hiyo kuongeza wigo wa utoaji huduma wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha. Rais Samia alitoa maagizo hayo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2025 akisema ndani ya siku 100 za utawala wake ataongeza wigo wa huduma za kodi. Jana…

Read More

Ukosefu wa vyoo kuwang’oa wakurugenzi, ma-DAS

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amewabana mawaziri wanne na manaibu wao kujibu hoja zilizotolewa na Mbunge wa Mkinga, Twaha Mwakioja, huku akiwaagiza wakuu wa mikoa, wakurugenzi kuhakikisha shule, vituo vya afya vinakuwa na matundu ya vyoo kabla ya tathmini ya utekelezaji wa bajeti 2026/27. Hatua hiyo ilikuja baada ya mbunge huyo kuibua masuala…

Read More

Mholanzi aonyesha pa kuanzia Simba

UNAMKUMBUKA kocha wa zamani wa Yanga, Hans Pluijm? Sasa Mholanzi huyo anayeishi Ghana amevunja ukimya kwa kuichambua Simba kwa namna alivyoifuatilia katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kutoa sababu kwa nini haijaingia robo fainali ya michuano hiyo licha ya kuwa na wachezaji bora. …

Read More

Askofu Kasala ashauri jambo Bima ya Afya kwa Wote

Geita. Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kasala ameshauri utaratibu wa utoaji wa Bima ya Afya kwa Wote nchini uzingatie haki na upendo, bila kuweka madaraja yanayosababisha utengano baina ya wanajamii. Ameongeza kuwa ugunduzi wa kitabibu unaofanyika duniani, unalenga kuwanufaisha watu wote bila kujali madaraja ya vipato vyao ambapo amesema anatiwa shaka na tafsiri…

Read More