Azam yashinda mechi tatu mfululizo CAF
BAADA ya kuanza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa vichapo viwili mfululizo,…
BAADA ya kuanza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa vichapo viwili mfululizo, Azam FC imeamka na sasa inatembeza dozi tu kwa wapinzani. Chini ya Kocha Florent Ibenge, Azam leo Februari 7, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, imeibuka na ushindi wa bao 1-0. Beki wa kushoto wa Azam, Pascal…
Kwa muda mrefu, tasnia ya muziki imekuwa ikilaumiwa kwa kuzalisha nyimbo zenye maudhui yanayodaiwa kukinzana na maadili ya jamii. Hali hiyo imekuja wakati jamii ikiendelea kukabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, masuala ambayo wengi wanaona hayajapewa uzito unaostahili kupitia kazi za sanaa. Hata hivyo hoja hiyo pia iliwekwa…
NYOTA mpya wa Simba SC, Anicet Oura, amefanikiwa kufunga bao lake la kwanza akiwa na kikosi cha timu hiyo baada ya kujiunga nacho dirisha dogo la usajili msimu huu akitokea IF Gnistan ya Finland. Winga huyo amefunga bao moja katika sare ya 1-1 iliyopata Simba dhidi ya Petro Atletico, ikiwa ni mechi ya tano Kundi…
Serikali imewataka vijana wanaopata fursa za ajira nje ya nchi kuwa mabalozi wa Taifa kwa kuzingatia nidhamu, uadilifu na tamaduni katika nchi wanazokwenda, ili kulinda heshima ya Tanzania. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Rahma Kisuo, leo Februari 07, 2026 katika ukumbi wa Mfuko wa…
Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta Julai mwaka huu kupitia EACOP – Global Publishers Home Habari Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta Julai mwaka huu kupitia EACOP
Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Handeni, Amiri Mwaliko,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili taarifa za kata za Halmashauri ya Mji Handeni uliofanyika leo Februari 7, 2026. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili taarifa za kata za Halmashauri ya Mji Handeni uliofanyika leo Februari 7, 2026. Naibu…
Watanzania Wawili Watuhumiwa Kujihusisha na Ugaidi Kenya – Global Publishers Home Habari Watanzania Wawili Watuhumiwa Kujihusisha na Ugaidi Kenya
Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Handeni, Amiri Mwaliko,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili taarifa za kata za Halmashauri ya Mji Handeni uliofanyika leo Februari 7, 2026. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili taarifa za kata za Halmashauri ya Mji Handeni uliofanyika leo Februari 7, 2026….
Kassim Nyaki, Ndutu Ngorongoro. Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani? Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ya Ngorongoro eneo la Ndutu kwa uzinduzi wa Chapa mpya ya Destination Ngorongoro. Kamishna wa Uhifadhi mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Abdul-Razaq Badru ameongoza Menejimenti ya mamlaka hiyo na wadau mbalimbali wa sekta…
Urusi imefanya shambulizi kubwa dhidi ya miundombinu ya nishati nchini Ukraine, hatua iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mengi ya nchi hiyo. Taarifa hiyo imetolewa leo na Kampuni ya Taifa ya Umeme ya Ukraine, Ukrenergo. Kupitia ujumbe uliotolewa kwenye mtandao wa Telegram, Ukrenergo imesema kuwa mashambulizi hayo bado yanaendelea, huku ikibainisha kuwa…