Hii hapa ratiba ya mazishi ya Kardinali Pengo

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limetoa ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo kuu Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo yakitarajiwa kufanyika  Jumamosi Februari 28, 2026, jijini Dar es Salaam. Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete alikokuwa…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More

Meridianbet Na Burudani Mpya ya Kidijitali Kupitia Aspect Gaming & Superspade Games

KATIKA ulimwengu ambao teknolojia inaamua mwelekeo wa burudani, Meridianbet imeendelea kuonesha kwa vitendo kuwa iko hatua moja mbele ya ushindani. Kupitia mkakati wake wa kushirikiana na wabunifu wakubwa wa michezo duniani, Meridianbet inaleta mapinduzi katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa, salama na wenye msisimko wa hali ya juu. Kupitia ushirikiano…

Read More

Ngoy aiokoa Namungo dakika za jioni 

AWAMU hii Namungo imekataa uteja mbele ya Singida Black Stars, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Majaliwa uliyopo Ruangwa, mkoani Lindi. Kipindi cha kwanza kilichomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana, Namungo ilipiga shuti moja golini, huku lingine likitoka nje wakati…

Read More

TRA yaizamisha Fountain Gate | Mwanaspoti

TRA United imeizamisha Fountain Gate kwa kuitandika mabao 4-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu jijini Arusha. Matokeo hayo yanaifanya TRA kupanda nafasi mbili kutoka ya 12 hadi 10 kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 16 baada ya kucheza 13, ikizishusha Coastal Union…

Read More

Geay, Dinday warejea kutoka Daegu Marathon

WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari 22,2026 na kubeba heshima ya taifa. Nyota hao wote wanatokea timu ya riadha ya Gabriel Geay inayofanya mazoezi katika kambi ya Madunga iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara. Geay ameendelea kuthibitisha ubora…

Read More

DKT MPANGO AWASILI SONGEA

…. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26 Februari 2026. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji litakalofanyika tarehe 27 Februari 2026, Viwanja vya Makumbusho ya Majimaji,…

Read More