Tuzo za Wabunifu nchini Zilivyonoga Usiku wa Kuamkia Leo Mlimani City
Tuzo za Wabunifu nchini Zilivyonoga Usiku wa…
Tuzo za Wabunifu nchini Zilivyonoga Usiku wa Kuamkia Leo Mlimani City – Global Publishers Home Habari Tuzo za Wabunifu nchini Zilivyonoga Usiku wa Kuamkia Leo Mlimani City
YANGA imetua jana kisiwani Zanzibar, tayari kwa mechi iliyoshikilia hatma ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Kabylie ya Algeria, lakini kocha Pedro Goncalves ametoa kauli ya kuwatuliza mashabiki wa timu hiyo juu ya ukosoaji wa kikosi hicho. …
Kadiri barafu inavyopungua na kutoweka, mabadiliko katika mtiririko wa maji husababisha hatari inayoongezeka kwa usalama wa maji, chakula na maisha ya mabilioni ya watu. Credit: FAO Maoni na Qu Dongyu (Roma) Alhamisi, Februari 12, 2026 Inter Press Service ROME, Februari 12 (IPS) – Glaciers – benki za maji zilizofichwa duniani – ni chanzo cha maisha…
Watoto wawili wameripotiwa kuuawa na wengine 13 kujeruhiwa katika shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye msikiti wa Al-Rahad, Kordofan Kaskazini, ambapo waathiriwa wote walikuwa wanafunzi wa shule inayopakana nayo. Shambulio hilo lilitokea saa chache baada ya shule ya msingi ya Dilling, Kordofan Kusini, kupigwa, na kuripotiwa majeraha zaidi. Ghala la WFP lagongwa Ghala la…
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu uliolenga kujadili matumizi ya Akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) katika kuboresha utoaji wa huduma za umma na kuongeza ufanisi wa kiutendaji serikalini. Mdahalo huo umefanyika katika Kituo cha Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (Global Learning Section – GLS) cha Chuo hicho, jijini Dar…
…………. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza kwa kiasi kikubwa ada za leseni kwa watoa huduma na wakusanya maudhui mtandaoni, hatua inayolenga kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikikabili sekta hiyo na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa kidigitali. Hatua hiyo imetangazwa leo Februari 12, 2026 jijini Dodoma na Naibu Waziri…
NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amesema Serikali imejipanga kikamilifu kutumia Teknolojia ya Akili Mnemba (Artificial Intelligence – AI) ili kuongeza ufanisi, kasi na ubora wa utoaji huduma kwa wananchi, kufuatia mabadiliko makubwa ya kidunia katika sekta ya teknolojia. Daudi aliyasema hayo jijini Dar…
Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru ameongoza kikao cha kimkakati kilichojumuisha waheshimiwa Madiwani, Viongozi wa Mila, watendaji wa kata, wenyeviti wa Vijiji na watendaji wa vijiji kwa lengo la kudumisha mahusiano na uboreshaji wa huduma za kijamii na uboreshaji wa shughuli za…
SERIKALI imetangaza neema ya kihistoria kwa wanablogu, vijana wabunifu, na watoa maudhui mtandaoni nchini kwa kupunguza ada za leseni kwa kiwango kikubwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali na kurasimisha shughuli za wahabarishaji wa mitandao. Hatua hiyo imekuja kufuatia utafiti wa kina na mikutano ya kimkakati ya takribani mwaka mzima kati ya mtandao…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji 2026 umeanza rasmi jijini Dodoma kwa mijadala mizito inayolenga kuimarisha sekta ya utangazaji nchini. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza leo Februari 12, 2026 unatarajiwa kuhitimishwa kesho Februari 13, 2026. Mkutano huo umeandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ukishirikisha wadau mbalimbali wa…