UNDP, UINGEREZA WATOA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI
::::::::: Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania) kwa kushirikiana na Serikali ya…
::::::::: Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania) kwa kushirikiana na Serikali ya Uingereza kupitia Ofisi ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Madola na Maendeleo (FCDO), wametoa zaidi ya Shilingi milioni 70 kama mtaji wa awali kwa biashara bunifu zilizoanzishwa na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini. Msaada huo umetolewa katika msimu wa pili…
Musoma. Watu 38 ambao miongoni mwao walikuwepo viongozi, makada na wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wanashikiliwa na Polisi mkoani Mara, kwa madai ya kufanya vurugu na kuzua taharuki mjini Musoma wameachiwa kwa dhamana. Watu hao akiwamo Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Pamela Massay walikamatwa mjini Musoma jana Jumapili, Mei 8,…
ACI FMA Tanzania has reaffirmed its commitment to supporting the sustainable growth of Tanzania’s financial markets and contributing meaningfully to the broader development of the national economy. This was revealed by the Association’s President, Mr. Farid Yahya Ally, during an iftar gala held in Dar es Salaam over the weekend. The event featured a panel…
:::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Madola (CFAMM) uliofanyika Machi 8, 2026 jijini London, Uingereza akimwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.)….
Na Munir Shemweta, Masasi Mbunge wa Jimbo la Masasi ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amekabidhi baiskeli kumi kwa watu wenye ulemavu wilayani Masasi mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kusaidia watu wenye mahitaji maalum katika jimbo hilo. Dkt. Akwilapo amekabidhi baiskeli hizo…
Mwandishi wa habari Mwandamizi na Mkurugenzi wa Full Shangwe Media, Bw. John Bukuku akiaga mwili wa Mama yake Mzazi Anyambilile M. Kilindu katika ibada iliyofanyika Leo Machi 8, 2026 Madale, Dar es Salaam. Mchungaji wa Kanisa la Moravian Onesmo Kasyama akiongoza ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Anyambilile M. Kilindu. …….. Mwili wa marehemu Bi….
Tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. Ni matumaini yangu kuwa, kwa neema ya Mungu, unaendelea vizuri. Ninamshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusema na wewe siku ya leo, ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Maadhimisho ya mwaka jana, kupitia ukurasa huu, nilipata pia kibali cha kukukumbusha juu ya…
Dar es Salaam. Kwa nje, unaweza kumuona kama fundi simu wa kawaida anayefanya kazi zake Kariakoo lakini nyuma ya meza yake ya kazi, kuna historia ya kipekee ya maisha ya soka, mapambano ya majeraha na uamuzi wa kuanza upya. Hii ni safari ya Monica Conrad, mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa wanawake aliyewahi…
Na Mwandishi wetu OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma imezindua mfumo wa kusikiliza kero za wananchi kidigitali kupitia namba maalumu WhatsApp ijulikanayo kama Chemba konektedi. Kupitia namba hiyo maalum ya 0771400500 itakayotumika kwa mfumo wa WhatsApp wananchi wataweza kuwasilisha kero na changamoto zao moja kwa moja bila kutumia muda, nauli kwa kusafiri…
Na Mwandishi Wetu KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kenani Kihongosi amemsifia na kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Itilima mkoani Simiyu Njalu Silanga kwa namna anavyowasilisha bungeni hoja zenye mashiko na zenye kulenga kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo hilo. Kihongosi amesema mbunge huyo ameonesha dhamira ya dhati ya kuwatumikia…