SERENGETI INATAMBULIKA DUNIANI KAMA DARASA LA KUJIFUNZA ULINZI WA BIOANUAI NA UTALII ENDELEVU.
Na. Jacob Kasiri – Serengeti Kauli ya Hifadhi ya Taifa Serengeti kuwa ni darasa katika…
Na. Jacob Kasiri – Serengeti Kauli ya Hifadhi ya Taifa Serengeti kuwa ni darasa katika shughuli za ulinzi wa maliasili na eneo maarufu duniani kwa ajili ya utalii endelevu imeendelea kukita mizizi katika hifadhi hiyo iliyobeba umaarufu duniani kwa uhamaji wa nyumbu imedhihirika leo machi 17, 2026 baada ya kupokea Ujumbe Maalumu wa Wizara ya…
Serikali imedhamiria kuwa Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) itakuwa mji wa kitaaluma na tiba, ikijumuisha vituo vya umahiri vitakavyotoa huduma za matibabu, elimu na utafiti ili kuimarisha sekta ya afya na elimu ya juu nchini. Hatua hiyo, inatokana na uwekezaji mkubwa unaoendelea katika Kampasi hiyo, pamoja na…
Shinyanga. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kutolewa kwa kibali cha kuruhusu ndege kutua wakati wa mchana katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Shinyanga ili kuharakisha kuanza kwa matumizi ya uwanja huo. Akizungumza leo Machi 17, 2026 wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi wa uwanja huo uliopo katika Kata ya Ibadakuli, Manispaa ya…
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) ambao umefikia asilimia 70. Akizungumza leo wakati wa ziara ya kutembelea Kampasi ya Mlonganzila, Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Husna Sekiboko alisema lengo la…
Dar es Salaam. Shahidi wa 23 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Simon Mkondya, maarufu Dk Manguruwe na mwenzake Rweyemamu John, amedai alishawishika kuwekeza Sh10 milioni katika kampuni hiyo akiamini ni halali. Shahidi huyo, Roselyn Kakolo, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Machi 17, 2026 kuwa alivutiwa kuwekeza baada ya…
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV SHIRIKA la INADES-Formation Tanzania limezindua ujenzi wa bwawa la kunyweshea mifugo (water trough) katika Kijiji cha Migori, Wilaya ya Iringa, kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa maji salama na ya uhakika kwa punda na mifugo mingine midogo. Mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano na Brooke East Africa, kwa kushirikiana na Halmashauri…
Dar es Salaam. Katika mapitio ya uamuzi wa shauri la kupinga Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, tunaangalia hoja za Serikali dhidi ya hoja za waombaji. Baada ya mawakili wa waombaji kuwasilisha hoja zao kufafanua sabau za kuipinga tume hiyo, wajibu…
WAKATI Pamba Jiji ikijipanga kuipokea Simba SC, kocha wa kikosi hicho, Francis Baraza amesema kazi kubwa waliyonayo ni kuwashika wekundu hao pabaya. Mechi hiyo itakayochezwa Machi 19, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Baraza alisema eneo lenye nguvu zaidi kwa Simba ni kiungo, hivyo watadili nalo kuhakikisha wanapata ushindi kirahisi wakiwa nyumbani….
Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanza mkakati kabambe kujenga Kituo cha Kimataifa cha kumbi za mikutano na maonesho ya biashara Fumba ambacho kitagharimu zaidi ya Dola za Marekani 124.518 milioni sawa na Sh324.680 bilioni. Katika kuimarisha ukuaji na utafutaji masoko hapa nchini, Kituo hicho kinalenga kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha biashara katika ukanda…
Arusha. Hatimaye wabunge tisa kutoka Somalia wameapishwa rasmi kujiunga na Bunge la Afrika Mashariki (Eala), baada ya mvutano wa kisheria wa muda mrefu kuhusiana na mchakato wa uteuzi na changamoto za kifedha zinazoikabili Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Wabunge hao wameapishwa Machi 17, 2026 jijini Arusha ndani ya makao makuu ya Bunge hilo ambapo wanatarajiwa…