Anayedaiwa kutapeli watalii kupitia mitandao atiwa mbaroni
Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa KDC, Kata ya Mbokomu, Wilaya…
Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa KDC, Kata ya Mbokomu, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Musa Mushi (40), kwa tuhuma za kujihusisha na udanganyifu wa kutapeli watalii wanaoingia nchini wakiwamo wanaokuja kutalii kwenye Mlima Kilimanjaro. Taarifa ya kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo, imetolewa leo Machi 12, 2026 na Kamanda wa Polisi Mkoa…
Iringa. Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia Benjamin Kikula (61), baba mkubwa wa marehemu Naomi Kivamba (13), kwa tuhuma za kuhusika na ukatili wa kijinsia na mauaji ya mtoto huyo, tukio lililotokea katika eneo la Isakalilo. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Machi 12, 2026 katika eneo la Zizi, Manispaa ya Iringa, Kamanda wa…
Dar/Dodoma. Wakati tume zilizoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan zikibainisha sababu za kukwama kwa mpango wa kuwahamisha wakazi wa ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro, Serikali imesema itaendelea na mpango huo lakini kwa mfumo mpya unaosisitiza hiari ya wananchi, ushirikishwaji mpana wa jamii na marekebisho ya kasoro zilizojitokeza awali. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Machi 12, 2026…
Dar es Salaam. Bei ya hisa za kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG) imeongezeka kwa asilimia 28.3 ndani ya siku mbili kufuatia tangazo la Jumanne kuwa mfanyabiashara Rostam Aziz ananunua hisa nyingi katika kampuni hiyo. Jana, bei ya hisa hizo katika soko la hisa la Nairobi (NSE) iliongezeka kwa asilimia 7.6 na kufikia…
:::::::: Wananchi wa kata ya Tengeru katika Halmashauri ya wilaya ya Meru wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujenga barabara za lami zenye urefu wa Km 4.2 katika eneo hilo, hatua iliyosaidia kupunguza changamoto ya usafiri na kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…
Dodoma. Serikali imetangaza mchakato wa kupitia upya mashirika na taasisi za umma zinazohusika na udhibiti na usimamizi wa shughuli za kibiashara. Lengo la Serikali ni kupunguza urasimu unaosababishwa na kanuni na tozo zisizo za lazima, zinazokwamisha ukuaji wa biashara nchini. Mpango huu pia unalenga kuondoa urasimu unaochangia kuchelewesha uwekezaji na kupunguza tija katika sekta ya…
******** Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuhakikisha inamsimamia kwa karibu mkandarasi anayejenga jengo la taaluma katika makao makuu ya Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) ili mradi huo ukamilike kwa ubora unaotakiwa. Agizo hilo limetolewa Mkoani Morogoro leo Machi 12, 2026 na Kaimu…
******** Na Mwandishi wetu, Tabora Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na Ujenzi wa Kiwanda cha Zege kinachomilikiwa na kampuni tanzu ya TANESCO ya kuzalisha nguzo za zege kilichopo katika Mkoa wa Tabora wakati wa ziara yao ya kikazi Mkoani humo tarehe 12 Machi, 2026….
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), ameeleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi wa jengo la kisasa la Vipimo na Viwango katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) jijini Dar es Salaam. Akizungumza Machi 12, 2026, Mhe. Mwanyika amebainisha kuwa mradi huo wa ghorofa…
Dodoma. Zaidi ya vijana 713 na wasimamizi 69 wamepata ajira za muda katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu, huku wakionyeshwa onyo la kutotumia mifumo ya akili unde (AI) kupika takwimu kwa kuwa shughuli zao zinafuatiliwa katika kila hatua. Onyo hilo limetolewa jana jioni Machi 11, 2026 na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Amina Msengwa, wakati akizungumza…