MAKAMU WA PILI AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE, ASISITIZA UWAJIBIKAJI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni(kushoto) akiteta jambo…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni(kushoto) akiteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kabla ya kufungua Semina kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Zanzibar kuhusu Mfuko wa Jimbo, iliyofanyika Zanzibar, Februari 26, 2026. Na Mwandishi Wetu Unguja: Makamu wa…
Dar es Salaam. Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limetoa ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo kuu Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo yakitarajiwa kufanyika Jumamosi Februari 28, 2026, jijini Dar es Salaam. Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete alikokuwa…
Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…
KATIKA ulimwengu ambao teknolojia inaamua mwelekeo wa burudani, Meridianbet imeendelea kuonesha kwa vitendo kuwa iko hatua moja mbele ya ushindani. Kupitia mkakati wake wa kushirikiana na wabunifu wakubwa wa michezo duniani, Meridianbet inaleta mapinduzi katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa, salama na wenye msisimko wa hali ya juu. Kupitia ushirikiano…
Serikali imesema inatilia mkazo katika ulinzi na usalama wa kidijital ili kulinda miundombinu dhidi ya vitisho vya kimtandao ambavyo vinaweza kutumiwa na wahalifu wa ndani na nje ya nchi na kuhatarisha usalama wa wananchi na mali zao. Akizungumza jijini Dodoma leo Februari 26, 2026 Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Angella Jasmine Mbelwa…
AWAMU hii Namungo imekataa uteja mbele ya Singida Black Stars, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Majaliwa uliyopo Ruangwa, mkoani Lindi. Kipindi cha kwanza kilichomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana, Namungo ilipiga shuti moja golini, huku lingine likitoka nje wakati…
TRA United imeizamisha Fountain Gate kwa kuitandika mabao 4-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu jijini Arusha. Matokeo hayo yanaifanya TRA kupanda nafasi mbili kutoka ya 12 hadi 10 kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 16 baada ya kucheza 13, ikizishusha Coastal Union…
WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari 22,2026 na kubeba heshima ya taifa. Nyota hao wote wanatokea timu ya riadha ya Gabriel Geay inayofanya mazoezi katika kambi ya Madunga iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara. Geay ameendelea kuthibitisha ubora…
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,akizungumza na waandishi wa habari katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam leo Februari 26, 2026. SERIKALI imesema kuwa uwekezaji mkubwa uliofanywa katika sekta ya usafiri wa anga na reli umeongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa ubebaji wa mizigo nchini, huku kila sekta ikiwa na nafasi…
…. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26 Februari 2026. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji litakalofanyika tarehe 27 Februari 2026, Viwanja vya Makumbusho ya Majimaji,…