Kariakoo Dabi ya Machi mosi kupigwa ‘Gwantanamo Bay’
MECHI ya watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba maarufu Kariakoo Dabi iliyopangwa kufanyika Machi…
MECHI ya watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba maarufu Kariakoo Dabi iliyopangwa kufanyika Machi 1, 2026, itachezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe ambao ni wenyeji wa mechi hiyo ikiwa ni ya mzunguko wa kwanza katika Ligi Kuu Bara. Kamwe ametoa kauli hiyo muda mchache…
Na: Mwandishi Wetu, DAR Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stashahada (Diploma) katika kozi za vipaumbele wanaotarajiwa kudahiliwa mwezi Machi, 2026. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk. Bill Kiwia, Jijini Dar es Salaam ambapo dirisha la maombi…
AZAM FC leo imekamilisha ratiba ya meci za makundi kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini mbele ya Wydad AC ya Morocco na kuunganana na Singida Black Stars kung’oka katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wawakilishi hao wa Tanzania walikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mohammed V, Casablanca ambapo licha ya kukomaa na kwenda…
Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitaka mamlaka hiyo kuongeza wigo wa utoaji huduma wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha. Rais Samia alitoa maagizo hayo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2025 akisema ndani ya siku 100 za utawala wake ataongeza wigo wa huduma za kodi. Jana…
HESABU zimekaa. Ndicho kilichotokea jana kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF baada ya Yanga jana usiku kupata ushindi wa mabao 3-0 nyumbani mbele ya JS Kabylie ya Algeria, lakini ikajikuta ikiaga Ligi ya Mabingwa Afrika ikiungana na Simba, Azam FC na Singida BS zilizoaga mapema. Yanga ilikuwa ikisikiliza matokeo ya jijini Cairo wakati…
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amewabana mawaziri wanne na manaibu wao kujibu hoja zilizotolewa na Mbunge wa Mkinga, Twaha Mwakioja, huku akiwaagiza wakuu wa mikoa, wakurugenzi kuhakikisha shule, vituo vya afya vinakuwa na matundu ya vyoo kabla ya tathmini ya utekelezaji wa bajeti 2026/27. Hatua hiyo ilikuja baada ya mbunge huyo kuibua masuala…
Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imebariki adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa mkazi wa Arusha, Nasibu Kilalo aliyohukumiwa kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume aliyekuwa na umri wa miaka mitano wakati huo. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo katika hukumu iliyotolewa na Jaji Frank Mahimbali, Februari 9, 2026 baada ya kutupilia mbali rufaa…
UNAMKUMBUKA kocha wa zamani wa Yanga, Hans Pluijm? Sasa Mholanzi huyo anayeishi Ghana amevunja ukimya kwa kuichambua Simba kwa namna alivyoifuatilia katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kutoa sababu kwa nini haijaingia robo fainali ya michuano hiyo licha ya kuwa na wachezaji bora. …
Geita. Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kasala ameshauri utaratibu wa utoaji wa Bima ya Afya kwa Wote nchini uzingatie haki na upendo, bila kuweka madaraja yanayosababisha utengano baina ya wanajamii. Ameongeza kuwa ugunduzi wa kitabibu unaofanyika duniani, unalenga kuwanufaisha watu wote bila kujali madaraja ya vipato vyao ambapo amesema anatiwa shaka na tafsiri…
Na Fatma Jalala Elimu na ushiriki wa wanawake katika ununuzi wa umma ni mhimili muhimu wa kukuza maendeleo ya kiuchumi na kujenga uchumi jumuishi nchini Tanzania, hasa katika kipindi hiki ambacho Serikali inaendelea kutekeleza Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023. Sheria hiyo inazitaka taasisi zote za umma kutenga asilimia 30 ya ununuzi kwa…