Ufikiaji wa Kibinadamu Unaporomoka Kadiri Mgogoro wa Kisiasa na Usalama wa Yemen Unavyozidi Kuongezeka – Masuala ya Ulimwenguni
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lakutana kuhusu hali ya Yemen. Credit: UN Photo/Evan…
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lakutana kuhusu hali ya Yemen. Credit: UN Photo/Evan Schneider na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumatano, Februari 04, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Februari 4 (IPS) – Katika wiki za hivi kaŕibuni, mgogoŕo wa kibinadamu wa Yemen umezidi kuwa mbaya zaidi, kwani kuongezeka kwa uhaba wa…
………… Na Sixmund Begashe, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewataka viongozi na wataalam wa wizara na Taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo, kuzingatia uzalendo na manufaa ya nchi kabla ya kusaini mikataba ya uwekezaji katika sekta za uhifadhi na utalii ili kuwawezesha Watanzania kunufaika na Maliasili za Taifa. Dkt….
Morogoro. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Morogoro (Moruwasa), Sais Kyejo amesema licha ya kuwepo kwa jitihada mbalimbali za kuboresha huduma, uchepushaji na wizi wa maji kwa baadhi ya wateja ni moja ya changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kwa muda mrefu. Kyejo ameyasema hayo leo Februari 4, 2026, wakati…
Watumishi wa ofisi ya Rais Tume ya Utumishi wa Umma, leo Februari 4, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola, wametembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro iliyopo mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya utalii wa ndani, mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi, uliofanyika jana Februari 3, 2026….
Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Fedha Na Taasisi Ya Kuke Ya Poland – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Fedha Na Taasisi Ya Kuke Ya Poland …
‘Uchaguzi umeisha sasa ni kazi’. Ni kauli ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC), Salim Abri ‘Asas’ wakati akizungumza na wananchi mkoani Mbeya kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya chama hicho.
Dodoma. Jumla ya Sh983.9 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kufadhili miradi ya matengenezo ya barabara nchini. Fedha hizo zimetengwa kwa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) na zitakwenda kwenye matengenezo ya barabara kwa asilimia 100 ya mahitaji ya fedha za matengenezo ili kuzilinda zisiharibike. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Barabara, Rashid Kalimbaga, ametoa kauli…
Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video – Global Publishers Home Habari Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video
Dar es Salaam. Watanzania wenye shida ya macho kama mtoto wa jicho, presha ya macho, kutokuona mbali wameitwa kwenda kufanyiwa uchunguzi kisha kupata matibabu ikiwemo upasuaji na kupewa miwani bure. Neema hiyo imetangazwa leo Jumatano Februari 4, 2026 na Mkurugenzi wa kliniki ya macho ya Optical Center, Dk Mkunde Kibwana itakayofanyika Kawe Dar es Salaam…
…….. CHATO SIKU Chache baada ya Jaji mkuu wa Tanzania, George Masaju, kupendekeza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi na nyumba, mabaraza ya Kata pamoja na Kamati za maadili za mahakimu ambazo zipo chini ya wakuu wa wilaya na mikoa, Chama Cha United Democratic Party (UDP) kimepinga vikali mapendekezo hayo. Kinasema kuvunjwa kwa mabaraza hayo kutasababisha…