Watatu wafariki ikidaiwa kunywa dawa za kutoa nyongo, kuongeza hamu ya kula
Serengeti. Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Burunga wilayani Serengeti mkoani Mara wamefariki dunia huku…
Serengeti. Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Burunga wilayani Serengeti mkoani Mara wamefariki dunia huku mmoja akipelekwa hospitalini baada ya kunywa dawa ya miti shamba waliyopewa kwa lengo la kutoa nyongo tumboni na kuongeza hamu ya kula. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amesema tukio hilo limetokea jana Machi 19, 2026, saa 5…
***** Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata bidhaa mbalimbali za magendo katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu 10 ya mafuta ya kula na sabuni box 25 aina ya Malaika. Kwa mujibu wa Meneja Msaidizi wa Forodha mkoa wa Pwani Bi. Melinda Matinyi bidhaa hizo za magendo zimekamatwa Machi…
MERIDIANBET inakuleta kwenye ulimwengu wa ajabu wa Wild White Whale, mchezo unaokuletea mizunguko ya ushindi bila kikomo. Kila mzunguko ni fursa mpya ya kubadilisha hali yako, na kila mchezaji ana nafasi ya kuwa nahodha wa bahari ya zawadi. Hapa, akili na mikakati yako ndiyo vitu vinavyohitajika. Cheza mizunguko 100 kwa pesa halisi, na Meridianbet inakuongezea…
▫️Hatua kubwa kwa maendeleo ya Ngumi Kimataifa 20-03-2026 – Dar es Salaam. SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT) linapenda kuutaarifu umma na wadau wa mchezo wa ngumi kuwa Tanzania imekuwa rasmi mwanachama wa World Boxing, Shirikisho la Kimataifa la Ngumi linalotambuliwa na Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC). Uamuzi wa kuipokea Tanzania ulifikiwa katika kikao cha…
Iringa. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu askari wa Jeshi la Polisi, Sajenti Rogers Mmari (F.4987) wa Kituo cha Polisi Ipogolo, kwenda jela kwa miaka miwili baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila kukusudia. Tukio hilo lilitokea Desemba 14, 2024 Mtaa wa Ipogolo, Manispaa ya Iringa ambapo Mshtakiwa huyo alimpiga marehemu Nashoni Kiyeyeu…
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Serengeti kimetuma salamu za pongezi kwa waumini wa Dini ya Kiislamu nchini kufuatia kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kikieleza kuwa kipindi hicho ni msingi muhimu wa kujenga jamii bora. Leo Ijumaa Machi 20, 2026, baadhi ya waumini wa madhehebu ya dini…
Geita. Waumini wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kumfanya Mwenyezi Mungu kuwa kimbilio lao kwenye maisha kwa kudumisha matendo mema kama ilivyokuwa wakati wa Ramadhani, ili awajalie kufanikiwa katika haja zao ambazo walimuomba. Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Sheikh Dauda Bushumbilo kutoka Taasisi ya Ansari Geita Mjini, wakati wa swala ya…
***** Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imesaini mkataba wa Uboreshaji na Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara za Kuelekea na Kuzunguka Uwanja Mpya wa Mashindano ya AFCON-2027 Jiji la Arusha wenye thamani ya Shilingi ya Bilioni 82.9. Hafla ya utiaji saini imefanyika leo tarehe 20…
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesisitiza marufuku kwa magari binafsi, ya serikali pamoja na pikipiki kutumia barabara maalum za mabasi yaendayo haraka (BRT), likieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuzuia ajali zinazoweza kusababisha madhara makubwa kwa abiria. Tamko hilo linakuja kufuatia kuendelea kwa ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani…
***** Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Bahati Ndingo, amesema ataongoza jimbo hilo kwa kusikiliza wananchi na kuwasemea katika vyombo vya maamuzi ili kutafuta suluhisho la changamoto zinazowakabili. Akizungumza katika mahojiano na mwandishi, Ndingo alisema katika kipindi chake cha ubunge atakuwa daraja kati ya wananchi na Serikali kwa kuhakikisha maoni, ushauri na mapendekezo…