Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya amefunga mashindano ya Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha kwa kuwakabidhi makombe ya ushindi wanamichezo walishinda katika michezo mbalimbali naoshiriki kwenye michezo hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hafla hiyo imefanyika tarehe 29 Aprili 2024 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini…

Read More

Tatizo la afya ya akili laongezeka Zanzibar

Unguja. Zaidi ya watu 5,000 wanakadiriwa kukabiliwa na tatizo la afya ya akili Zanzibar. Hata hivyo, kutokana na udhaifu wa usajili wa wagonjwa, idadi inaelezwa yaweza kuwa mara mbili zaidi. Hayo yamebainika leo Aprili 30, 2024 katika mkutano wa wauguzi na waandishi wa habari kuhusu kazi zitakazofanyika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wakunga…

Read More

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Wanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha wamefanya matendo ya huruma kwa kutoa fedha na vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 11,557,000/= ambavyo vimekabidhiwa kwa vituo vinne vyenye uhitaji maalum. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Michezo ya Mei Mosi Taifa, Roselyne Massam Aprili 30, 2024 jijini Arusha…

Read More