Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 18, 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • 18
Habari

CDF wa Kenya apata ajali ya helkopta, Ruto aitisha kikao cha dharura

April 18, 2024 Admin

Kenya. Hofu imetanda nchini Kenya baada ya helkopta ya jeshi iliyokuwa imembeba Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo (CDF), Jenerali Francis Ogolla kupata ajali leo

Read More
Habari

Sh750 milioni zatengwa kuwapa mitaji wakulima wadogo wa shayiri

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. CRDB Bank Foundation (CBF) imetenga kitita cha Sh750 milioni ili kuwapa mitaji wezeshi wakulima wadogo wa shayiri kwenye mikoa ya Kaskazini. CBF

Read More
Habari

Wafamasia, wataalamu wa maabara watajwa chanzo uuzwaji dawa holela

April 18, 2024 Admin

Mbeya. Serikali imesema bado kuna dawa na vifaa tiba vyenye nembo ya Serikali zinazokamatwa kwenye maduka ya dawa na hospitali na maabara  za watu binafsi

Read More
Habari

Wasomi wa vyuo wapewa mbinu kujipima

April 18, 2024 Admin

Iringa.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu, Profesa Joseph Ndunguru, amesema eneo la kwanza la muhitimu wa chuo kikuu analopaswa kujipima

Read More
Habari

Wadau kushirikiana kusafirisha Watanzania kwenda China, Dubai

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kampuni ya simu za mkononi ya Infinix kwa kushirikiana na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) wamezindua rasmi promosheni iliyopewa jina la “AA

Read More
Habari

Kauli ya Mwenyekiti UVCCM yawasha moto, Jaji Mutungi, Sheikh Ponda, RPC

April 18, 2024 Admin

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa

Read More
Michezo

Jangwani kumekucha, Wazee, Mashabiki wakolleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Habari

CDF wa Kenya afariki dunia katika ajali ya helkopta

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Kenya, William Ruto amethibitisha kifo cha Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo (CDF), Jenerali Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali

Read More
Burudani Michezo

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

April 18, 2024 Admin

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani

Read More
Habari

Ushirikiano na Marekani Kuboresha Lishe na Maji Safi – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

  Kigoma – April 17, 2024, Serikali ya Marekani imezindua mradi wa USAID Lishe wenye thamani ya dola milioni 40, unaoendeleza ushirikiano wa muda mrefu

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.