
NCCR yasema uchumi wake hauruhusu kufanya mikutano
Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha NCCR Mageuzi wametakiwa kurudi majimboni mwao ili kuwahamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kukijenga chama. Hatua ya chama hicho imekuja baada ya kile kinachoelezwa hali ya uchumi wa chama hicho kutowaruhusu kufanya mikutano ya hadhara kama vyama vingine. Kuwaambia viongozi wao warudi majimboni ni moja…