Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 19, 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • 19
Habari

NCCR yasema uchumi wake hauruhusu kufanya mikutano

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha NCCR Mageuzi wametakiwa kurudi majimboni mwao ili kuwahamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kukijenga chama.

Read More
Habari

Waziri Mkuu kuongoza majaribio SGR Dar-Dodoma Aprili 21

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuongoza safari ya majaribio ya treni ya reli ya kisasa (SGR) itakayofanya safari kutoka Dar es Salaam

Read More
Habari

Boniphace Jacob asema wabadhirifu fedha za umma wachukuliwe hatua, akiichambua ripoti ya CAG

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob amesema kuchukua hatua kali za kinidhamu kwa watakaobainika kushiriki katika ubadhirifu wa fedha za umma katika

Read More
Michezo

Aliyetishia Kariakoo Dabi mtandaoni adakwa na Polisi

April 19, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Abdulshahib Hegga ‘GB64’ kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Ligi Kuu

Read More
Habari

Mbivu, mbichi suala la kikokotoo kujulikana Mei Mosi

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema suala la kanuni mpya ya kikokotoo cha pensheni ya wastaafu lina maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan na limeanza kufanyiwa kazi, majibu

Read More
Michezo

Wakongwe: Ni Dabi ya suluhu au sare

April 19, 2024 Admin

 Mastaa waliowahi kuzichezea Simba na go Yanga wametoa utabiri wa mechi ya Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara inayopigwa kesho, Jumamosi, uwanjani Benjamin Mkapa, wengi

Read More
Habari

Wafugaji Monduli walia bwawa kupasuka, kupoteza maji

April 19, 2024 Admin

Arusha. Wananchi wa jamii ya wafugaji katika kijiji cha Nanja kilichopo wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wameiomba Serikali kuharakisha ukarabati wa kuta za bwawa la

Read More
Michezo

Aprili inavyoibeba Simba Kariakoo Dabi

April 19, 2024 Admin

MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa

Read More
Habari

Mtoto adaiwa kujinyonga Arusha kisa kuchelewa shule

April 19, 2024 Admin

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Olomitu iliyoko Chekereni jijini Arusha, Yusuph Zephania (13) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kuogopa adhabu

Read More
Michezo

Mambo 3 yanaibeba Yanga SC

April 19, 2024 Admin

JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.