Agizo la Rais Samia latekelezwa, treni mwendokasi yaanza majaribio Dar – Dodoma

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Katika kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza majaribio ya treni ya mwendokasi inayotumia umeme kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kuelekea hatua ya kuanza rasmi ifikapo mwishoni mwa Julai. Wakati akihutubia Taifa Desemba 31,2023 Rais Samia aliliekeleza TRC kuhakikisha linaanza rasmi safari za…

Read More

Taliss mabingwa mashindano ya Taifa ya Klabu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Timu ya mchezo wa kuogelea ya Taliss, imeibuka mabingwa wa jumla wa mashindano ya Taifa ya Klabu baada ya kujikusanyia pointi 385. Katika mashindano hayo ya siku mbili yaliyomalizika leo Aprili 21,2024, mshindi wa pili ni Dar Swimming iliyopata pointi 330 , namba tatu ni Mwanza Club yenye alama 96,…

Read More

Ulinzi Yawachezesha Kwata Wapinzani Katika Darts

Bingwa wa mchezo wa vishale (Darts) wanawake Scholastica Kaizer kutoka wa timu ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (Ulinzi Sports Club) akionesha utaalamu wake wakati wa michuano ya Kombe la Mei Mosi Taifa 2024 inayoendelea Jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu, Arusha WACHEZAJI Omary Mmbaga na Scholastica Kaizer wa timu ya Wizara ya…

Read More