Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 22, 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • 22
Habari

DOZI MOJA YA CHANJO YA HPV INATOSHA KUMKINGA MSICHANA KUPATA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

April 22, 2024 Admin

Na WAF – Mwanza Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema dozi Moja ya chanjo ya HPV inatosha kumkinga msichana kupata ugonjwa wa Saratani ya

Read More
Habari

PROF. MKENDA "MGAO WA FEDHA ROMBO HAUFANYIKI KWA UPENDELEO"

April 22, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. MBUNGE wa Rombo ambaye ni Waziri wa Elimu Sayansi na teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mgawanyo wa fedha zinazotolewa na serikali

Read More
Habari

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

April 22, 2024 Admin

BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120 milioni kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania

Read More
Habari

SINGIDA WAANZA KUTOA CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA UZAZI KWA WASICHANA 178,114.

April 22, 2024 Admin

Mkoa wa Singida umezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo wa Saratani la mlango wa uzazi kwa wasichana mwenye umri kati ya miaka Tisa hadi

Read More
Habari

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

April 22, 2024 Admin

Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha  Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kwa kazi nzuri ya uwakilishi ambayo inaonekana kwa kuongezeka kwa

Read More
Habari

Makonda ahojiwa kwa saa tatu CCM

April 22, 2024 Admin

Mwananchi Digital leo iliweka kambi kwenye ofisi za makao makuu ya CCM jijini Dodoma, ilimshuhudia Makonda akiingia kwenye ofisi hizo saa 3.15 asubuhi akiwa na

Read More
Burudani

BETIKA NA MTOKO WA KIBINGWA 2024 YAFANA WASHINDI WAANDIKA HISTORIA

April 22, 2024 Admin

MABINGWA wa Promosheni Kubwa ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 waandika historia wakongwa nyoyo kwa burudani ya aina yake zakiem na Kushuhudia derby ya

Read More
Habari

 Chadema yachefukwa kauli ya fedha za maendeleo anatoa Rais Samia

April 22, 2024 Admin

Bukoba. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kukerwa na kauli ya baadhi ya viongozi wa Serikali na chama kilichopo madarakani kuwa kila fedha zinazotolewa

Read More
Michezo

Tanzania kinara idadi ya nyati na simba Afrika

April 22, 2024 Admin

Arusha. Tanzania imefanikiwa kuwa kinara wa idadi kubwa ya wanyamapori aina ya nyati na simba barani Afrika. Kwa upande wa nyati, Afrika nzima wako 401,000

Read More
Habari

DKT. JIM YONAZI AONGOZA MKUTANO WA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)

April 22, 2024 Admin

Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ambaye ni Mwenyekiti wa TNCM ameongoza

Read More

Posts pagination

1 2 … 5 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.