Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 25, 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • 25
Habari

Miaka 60 ya Muungano Tanzania kukutanisha wakuu wa mataifa saba Afrika

April 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zinatarajiwa kuwakutanisha wakuu wa mataifa saba ya Afrika, watakaohudhuria tukio

Read More
Habari

Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi Isabe, Kondoa

April 25, 2024 Admin

Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 – 25, 2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na madarasa

Read More
Habari

GEITA.RC. SHIGELA NA WANANCHI WAKUSANYIKA KUSIKILIZA HOTUBA YA RAIS DKT.SAMIA HASSAN.

April 25, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Geita , Martine Shigela na Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba pamoja na wananchi wa Mji wa Geita wamekusanyika katika

Read More
Habari

Waliokuwa wapangaji Bonde la Msimbazi kulipwa Sh170,000

April 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waliokuwa wapangaji katika nyumba zinazoathiriwa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wenye mikataba na wasio nayo, wote watafidiwa Sh170,000. Awali,

Read More
Habari

AGENDA YA KUTOKOMEZA MALARIA IWE YA KUDUMU KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI

April 25, 2024 Admin

Na WAF, TABORA Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameziasa Kamati za Ulinzi na Usalama nchini kuona umuhimu wakuifanya ajenda yakutokomeza Malaria iwe yakudumu

Read More
Michezo

Azam yaifuata Simba fainali Muungano

April 25, 2024 Admin

USHINDI wa mabao 5-2 ilioupata Azam FC dhidi ya KMKM, umeifanya timu hiyo kufuzu fainali ya Kombe la Muungano, michuano inayofanyika kwenye Uwanja wa New

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 26,2024

April 25, 2024 Admin

Home ยป PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 26,2024 About the author

Read More
Habari

Asilimia 79 ya wanawake wanasiasa wamedhalilishwa mitandaoni

April 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Utafiti umebaini asilimia 79 ya wanasiasa wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii nchini Tanzania walidhalilishwa kwa kufanyiwa ukatili wa kijinsia wa aina mbalimbali

Read More
Habari

NACTVET YAELIMISHA WANAFUNZI WA SEKONDARI MANISPAA YA TABORA

April 25, 2024 Admin

Na Mwandishi WetuBARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Kanda ya Magharibi, limewapatia elimu wanafunzi 5,000 katika shule za

Read More
Habari

Mvua kubwa kufikia ukomo Aprili 28

April 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini zinatarajiwa kukoma Aprili 28, 2024. TMA

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.