
April 26, 2024


SAKATA LA DKT KAWAMBWA: DIWANI MSTAAFU WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI
JESHI la Polisi Mkoani Pwani limewtia mbaroni Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa maneno makali, vitisho, dharau na kutishiwa kufungwa pingu Waziri na Mbunge Mstaafu Dkt Shukuru Kawambwa pamoja na Cathbert Enock Madondola huko Kitopeni, wilayani Bagamoyo. Aidha watuhumiwa…

SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA’S PROUD UNION ANNIVERSARY
60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and Strengthened for the Development of Our Nation. 1. Introduction. The United Republic of Tanzania was established by unifying Tanganyika and Zanzibar on April 26, 1964. It is a unified entity with a singular identity across Mainland Tanzania and Zanzibar and the surrounding water…

Ahly, Esperance fainali Mazembe, Mamelodi hoi
MAMBO ni moto. Miamba ya soka ya Afrika, Al Ahly na Esperance Tunis ndiyo itakayochuana kwenye mchezo wa fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baada ya kuwasukuma nje wapinzani wao kwenye mechi za nusu fainali usiku wa Ijumaa. Al Ahly ilikuwa nyumbani huko Cairo, Misri kukipiga na TP Mazembe katika moja ya mechi…

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 27,2024
Home ยป PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 27,2024 About the author

Ukuta wa nyumba waua watoto watatu wa familia moja
Shinyanga. Mvua zinazoendelea kunyesha katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga mkoani hapa, zimesababisha vifo vya watoto watatu wa familia moja katika Kitongoji cha Miembeni B, Kijiji cha Mishepo baada ya kuangukiwa na nyumba waliyokuwa wamelala usiku wa kuamkia leo. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Aprili 26, 2024, mama wa watoto hao, Joyce Nchimbi ambaye amenusurika…

MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia (kushoto), akizungumza alipokuwa akitoa wasilisho lake kwa…

‘Uelewa mdogo chanzo cha wakulima kutotumia mbolea’
Mwanza. Kampuni za kuuza mbolea nchini zimetakiwa kutoa elimu kwa wakulima kupitia mashamba darasa ili kuwashawishi matumizi ya mbolea shambani yanayotajwa kua chini mikoa ya kanda ya ziwa. Akizungumza leo Ijumaa Aprili 26, 2024 wakati wa mkutano wa kuwajengea uwezo mawakala wa mbolea ya Minjingu Kanda ya Ziwa, Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti…

Prince Dube aishi kifahara dar, aiponza Yanga
MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa sasa anaishi kwenye jumba moja la kifahari maeneo ya Salasala, Dar es Salaam kilomita chache kutoka kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi. Lakini habari za ndani…

Mkakati wa Serikali kunusuru wanafunzi na mafuriko
Dar es Salaam. Mvua inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu wa mali, makazi na miundombinu ya barabara na majengo, imeifanya Serikali kuchukua uamuzi mgumu wa kuzitaka shule zote zilizoathiriwa na mvua hizo kufungwa. Uamuzi huo unachukuliwa kipindi ambacho imeshuhudiwa mvua hizo za El-Nino tangu zilipoanza Oktoba mwaka jana kusababisha vifo vya watu zaidi…