Sarr aipa Simba milioni 50 za Muungano

BAADA ya kufunga bao pekee katika mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano, kiungo wa Simba Babacar Sarr ameiwezesha timu hiyo kuvuna kitita cha Sh50 milioni ambayo ni zawadi ya mshindi ya bingwa. Sarr alifunga bao hilo kwa kichwa katika dakika ya 77 akiunganisha mpira wa faulo uliopigwa  ikiwa ni matokeo ya madhambi yaliyofanywa na…

Read More

Wataka shule zote zifundishe ufundi, ujasiriamali

Mbeya. Serikali imeombwa kuweka mkazo kwa shule zote za sekondari nchini, zifundishe pia masomo ya ufundi na ujasiriamali, kwa lengo la kumuandaa mhitimu  kujiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa. Imeelezwa kwa kufanya hivyo, kutasaidia kuondoa dhana ya wengi kuwa mtu anasoma ili aje kuajiriwa. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na Mkuu wa Shule ya…

Read More

Mama asimulia ukuta ulivyodondoka na kuua watoto wake wanne

Dar es Salaam. “Sijui nimemkosea nini Mungu, amenipa adhabu kali inayoacha alama isiyofutika katika maisha yangu.” Haya ni maneno ya Mariamu Julius, aliyoitoa wakati akisimulia jinsi ajali ya ukuta wa nyumba ya jirani ulivyodondokea kwenye nyumba yake na kuchukua uhai wa watoto wake wanne. Amesema kama Mungu angempa kipawa cha kutabiri ajali hiyo kutokea au…

Read More

Ali Kamwe afunguka ishu nzima ya Pacome, iko hivi

NYOTA wa Yanga, Pacome Zouzoua ameanza rasmi mazoezi na timu hiyo baada ya kukosekana kutokana na majeraha ya goti aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo uliopigwa Machi 17, mwaka huu na kushuhudia Yanga ikifungwa mabao 2-1 kwenye Uwanja Benjamin Mkapa, Pacome alishindwa kuendelea dakika ya 28…

Read More