MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KUDHIBITI MAJANGA YA MIGODI YA BARRICK NCHINI YAPONGEZWA NA SERIKALI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA OSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda katika Banda la Barrick   ******   Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi wamepongeza kazi kubwa na nzuri inayofanywa na migodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu,North Mara na Buzwagi kwa kutumia vifaa vya teknolojia ya kisasa kudhibiti majanga sambamba na kufikisha elimu ya Afya na Usalama kwa…

Read More

BITEKO ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA OSHA, AIPONGEZA KUDHIBITI VIFO MAHALI PA KAZI

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati wote wanalinda usalama wa waajiriwa wao. Biteko ametoa kauli hiyo jana Jumapili baada ya kutembelea…

Read More

PURA yaibuka kinara tuzo za ushiriki wa watanzania

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la Taasisi zinazoshirikiana na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kutekeleza masuala ya local content. Kufuatia ushindi huo, PURA imekabidhiwa tuzo maalum wakati wa hafla ya kuhitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ushiriki wa Watanzania katika miradi…

Read More

MAWAZIRI WA AFRIKA KUJADILI VIPAUMBELE VYA AFRIKA IDA 21

Na. Josephine Majura na Saidina Msangi, WF, Nairobi, Kenya Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), ameungana na Mawaziri wa Fedha wa Afrika kushiriki katika mkutano maalum wa kujadili vipaumbele vya Afrika ili viweze kuzingatiwa katika maandalizi ya Mzunguko wa 21 wa Mfuko wa Maaalumu wa Maendeleo wa Benki ya Dunia (IDA21) unaotarajiwa…

Read More

USM Alger yagoma kuingiza timu uwanjani

Bingwa mtetezi wa Kombe la Shirikisho Afrika, USM Alger ya Algeria imegoma kuingiza timu kwenye Uwanja wa Berkane Municipal kwa ajili ya mchezo wa  nusu fainali ya pili ya michuano hiyo dhidi ya RS Berkane ya Morocco, uliopangwa kupigwa saa 4:00 usiku. USM Alger ilifika hadi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo lakini hawakuingia uwanjani na…

Read More

Mwanafunzi afa maji akiogelea, mwili waopolewa mtoni

Kibaha. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Waliul Asr Education Center wilayani Kibaha, mkoani Pwani, aliyesombwa na maji kwenye mto unaokatiza shuleni hapo umepatikana. Mwanafunzi huyo, Amar Mwazoa alisombwa na maji Aprili 22, 2024 ikidaiwa chanzo ni tatizo la msuli wakati akiogelea. mwenzake, Ally Mwinyi, akizungumzia tukio hilo amesema…

Read More

Mawasiliano Pwani-Lindi yarejea baada ya barabara kukatika

Dar es Salaam. Sehemu ya barabara eneo la Kimanzichana mkoani Pwani, ilomeguka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha, imekarabatiwa. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, alitembelea eneo hilo lililopo Mkuranga katika njia kuu ya kuelekea mikoa ya kusini  leo Aprili 28, 2024. Sehemu ya barabara eneo la Kimanzichana mkoani Pwani ilikatika kabla ya ukarabati. Picha na Mtandao “Niwahakikishie…

Read More