
Dk Biteko kusaidia vyombo vya habari vilipwe malimbikizo ya madeni
Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema atamwomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na viongozi wakuu wa Serikali wazisihi wizara na taasisi za umma kuanza kulipia madeni ya matangazo wanayodaiwa na vyombo vya habari. Dk Biteko amesema hayo wakati akifungua Mkutano Mkuu wa kitaaluma wa 13 wa mwaka wa Jukwaa la…