Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 29, 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • 29
Magazeti

 Dk Biteko kusaidia vyombo vya habari vilipwe malimbikizo ya madeni

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema atamwomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na viongozi wakuu wa Serikali wazisihi wizara na

Read More
Habari

Serikali yatoa majibu adhabu ya kifo, kukazia hukumu

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Wakati Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria, Serikali imesema suala la kukazia hukumu na adhabu ya kifo ni vitu ambavyo vinafanyiwa kazi,

Read More
Habari

Mbunge asisitiza wabakaji, walawiti wahasiwe

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro, Shally Raymond amesisitiza pendekezo la muda mrefu la baadhi ya wabunge la kuhasiwa wanaume wanaopatikana na hatia

Read More
Habari

MERIDIANBET YAPIGA HODI MTAANI KUWASHIKA MKONO WAPAMBANAJI

April 29, 2024 Admin

MITAA iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri na kasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet

Read More
Habari

Upelelezi wakwamisha kesi vigogo TPA

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande (66) na wenzake watano,

Read More
Habari

TAEC YAJIPAMBAMBANUA MAFANIKIO YA AWAMU YA SITA KWA UKUSANYAJI WA MADUHULI YA SERIKALI.

April 29, 2024 Admin

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Lazaro Busagala akizungumza na waandishi na Wahariri kwenye Mkutano unaoratibiwa na Ofisi ya Msajili

Read More
Habari

MAMIA YA WAFANYAKAZI KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED WASHIRIKI MEI MOSI MANYARA .

April 29, 2024 Admin

Ferdinand Shayo ,Manyara .   Mamia ya Wafanyakazi wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited wameshiriki maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi

Read More
Habari

Ujenzi wa kudumu barabara, madaraja yaliyoharibiwa kusubiri mvua ziishe

April 29, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa amesema baada ya mvua kuisha wataanza kujenga barabara na madaraja ya kudumu katika maeneo yaliyoathiriwa.

Read More
Habari

Kigogo wa zamani Tucta afichua makubaliano ya kikokotoo

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), Nicolaus Mgaya amesema bado wafanyakazi wana safari ndefu ya kupata nyongeza

Read More
Michezo

Aussems: Tatizo Simba ni lilelile

April 29, 2024 Admin

BAADA ya Abdelhak Bechikha kuachana na Simba kwa kile kilichotajwa ana matatizo ya kifamilia, kocha wa zamani wa timu hiyo, Patrick Aussems amesema tatizo la

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.