DKT BITEKO AIPA TANO TEF KWA KAULI MBIU YAO YA “UANDISHI WA HABARI KUHAMASISHA MATUMIZI YA GESI KULINDA MISITU.

Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko ameoneshwa kufurahishwa na Kauli mbiu iliyoandaliwa na Jukwaa la Wahariri TEF kwa mwaka 2024 iliyokuwa inasema “Uandishi wa Habari Kuhamasisha Matumizi ya Gesi Kulinda Misitu” na kusema imebeba ujumbe unaolenga kuhamasisha matumizi ya gesi kwa kupikia. Dkt Biteko ameyasema…

Read More

Samsung Electronics Continues to Lead Global Digital Signage Market for 15th Consecutive Year

Kenya on right path to cutting-edge digital signage as Samsung Electronics leads the way NAIROBI, Kenya – Samsung Electronics, a pioneer in cutting-edge display technology, has again secured its position as the number one global signage manufacturer. For an impressive fifteenth consecutive year, market research firm Omdia has recognised Samsung for its unwavering leadership in…

Read More

ELIMU KUTUMIKA KUZUIA VITENDO VYA RUSHWA,USIMAMIZI MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),Mkoa wa Mwanza,katika kuzuia vitendo vya rushwa kwenye miradi ya maendeleo,mkakati uliopo ni kutoa elimu kwa wananchi kusimamia matumizi ya sahihi ya fedha zinazotolewa na serikali kutekeleza miradi hiyo. Pia,katika kipindi cha robo ya nne ya mwaka 2023/24, itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kuchunguza…

Read More

Kigamboni wataja kinachokwamisha maendeleo yao

Dar es Salaam. Wananchi wa Kigamboni wamewasilisha changamoto tatu zinazokwamisha kasi ya shughuli zao za kiuchumi, ikiwamo ubovu wa miundombinu ya Barabara ya Kibada-Mwasonga hadi Kimbiji. Zingine ni kukosekana mitaro ya maji na changamoto ya kivuko cha Kigamboni. Wamewasilisha hayo jana Jumatatu Aprili 29, 2024 mbele ya Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliyetembelea Kigamboni kukagua…

Read More

Mageuzi 13 ya Tamisemi kwenye elimumsingi

Bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imepitishwa na wabunge huku fedha ya bajeti zikiongezeka. Ongezeko hilo ni kutoka Sh9.18 trilioni iliyoidhinishwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia Sh10.125 trilioni mwaka 2024/2025.  Ndani ya bajeti hiyo, Serikali imepanga kutumia Sh1.02 trilioni kupitia fedha zake na za washirika wa maendeleo kwa ajili…

Read More

Samsung Electronics Continues to Lead Global Digital Signage Market for 15th Consecutive Year – MWANAHARAKATI MZALENDO

  NAIROBI, Kenya – Samsung Electronics, a pioneer in cutting-edge display technology, has again secured its position as the number one global signage manufacturer. For an impressive fifteenth consecutive year, market research firm Omdia has recognised Samsung for its unwavering leadership in the dynamic field of digital signage. Samsung Electronics made a significant impact on…

Read More