Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 12
Habari

TAEC YAJIPAMBAMBANUA MAFANIKIO YA AWAMU YA SITA KWA UKUSANYAJI WA MADUHULI YA SERIKALI.

April 29, 2024 Admin

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Lazaro Busagala akizungumza na waandishi na Wahariri kwenye Mkutano unaoratibiwa na Ofisi ya Msajili

Read More
Habari

MAMIA YA WAFANYAKAZI KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED WASHIRIKI MEI MOSI MANYARA .

April 29, 2024 Admin

Ferdinand Shayo ,Manyara .   Mamia ya Wafanyakazi wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited wameshiriki maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi

Read More
Habari

Ujenzi wa kudumu barabara, madaraja yaliyoharibiwa kusubiri mvua ziishe

April 29, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa amesema baada ya mvua kuisha wataanza kujenga barabara na madaraja ya kudumu katika maeneo yaliyoathiriwa.

Read More
Habari

Kigogo wa zamani Tucta afichua makubaliano ya kikokotoo

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), Nicolaus Mgaya amesema bado wafanyakazi wana safari ndefu ya kupata nyongeza

Read More
Michezo

Aussems: Tatizo Simba ni lilelile

April 29, 2024 Admin

BAADA ya Abdelhak Bechikha kuachana na Simba kwa kile kilichotajwa ana matatizo ya kifamilia, kocha wa zamani wa timu hiyo, Patrick Aussems amesema tatizo la

Read More
Habari

Mvua sio kikwazo tena DSM, Meridianbet yaja na mbinu mbadala kwa bodaboda

April 29, 2024 Admin

Mitaa iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri nakasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet pale

Read More
Habari

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

April 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya

Read More
Habari

Muhas yahadharisha hofu magonjwa ya mlipuko

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na minong’ono ya uwepo wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya maeneo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,

Read More
Michezo

Simba ilistahili kubeba ndoo ya Muungano

April 29, 2024 Admin

SIMBA ndio mabingwa wapya wa michuano ya Kombe la Muungano, iliyoshirikisha timu nne zikiwamo Azam, KMKM na KVZ. Michuano hiyo ilifikia tamati rasmi juzi visiwani

Read More
Habari

EWURA YAPATA TUZO USIMAMIZI BORA MIRADI YA KIMKAKATI

April 29, 2024 Admin

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko (kushoto) akimpatia tuzo ya EWURA, Ofisa wa EWURA anayehusika na ushirikishwaji wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 11 12 13 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.