
TAEC YAJIPAMBAMBANUA MAFANIKIO YA AWAMU YA SITA KWA UKUSANYAJI WA MADUHULI YA SERIKALI.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Lazaro Busagala akizungumza na waandishi na Wahariri kwenye Mkutano unaoratibiwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina jijini Dar es Salaam. Afisa Habari Mwandamizi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabato Kosuri akizungumza kuhusiana uratibu wa mikutano hiyo kwa Taasisi zilizo chini ya Msajili wa…