Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 14
Habari

Wanaharakati wahamishia mapambano mtandaoni | Mwananchi

April 29, 2024 Admin

Morogoro. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amewataka watetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuongeza kasi ya

Read More
Michezo

Yanga yafanya uamuzi mgumu kwa Lomalisa, Kibabage

April 29, 2024 Admin

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefanya uamuzi mgumu kwa nyota wake wawili wa nafasi ya ulinzi ya beki ya kushoto, Joyce Lomalisa Mutambala na Nickson

Read More
Habari

DKT.BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK KWENYE MAONESHO YA OSHA NA KUPONGEZA KAMPENI YAKE YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’

April 29, 2024 Admin

NAIBU  Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Barrick chini kupitia migodi yake ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi

Read More
Habari

Bwawa lapasua kingo Kenya, watu 45 wapoteza maisha – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

Bwawa hilo la Kijabe linakiswa kuvunja kingo zake mwendo wa saa nane usiku wa kuamkia leo jumatatu baada ya kushiba mvua kubwa inayozidi kunyesha. Maji

Read More
Habari

TAEC ilivyookoa maisha ya watu dhidi ya mionzi

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tume ya Nguvu za Atomic Tanzania (TAEC) imezuia matukio 17 yaliyohusiana na mionzi ambayo yalikuwa na uwezekano wa kuleta madhara makubwa kwa

Read More
Michezo

JKT yavuta 20 milioni ikiizamisha Mtibwa

April 29, 2024 Admin

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata timu ya JKT Tanzania leo dhidi ya Mtibwa Sugar umewafanya mastaa wa timu hiyo kushinda bonasi ya Sh20 milioni kutoka

Read More
Habari

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia

Read More
Habari

Rais Samia, viongozi Afrika wataka mikopo nafuu

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuziwezesha nchi za Afrika kuwa na maendeleo shindani duniani, ni muhimu taasisi za fedha za kimataifa

Read More
Michezo

Simba Queens yaendeleza dozi, yanusa ubingwa WPL

April 29, 2024 Admin

SIMBA Queens imeendeleza ubabe na kugawa dozi baada ya kuichapa JKT Queens mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ikiwa juzi tu imetoka kumchapa

Read More
Habari

Misri ina matumaini kuwa Israel, Hamas watafikia makubaliano – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

Kauli hiyo ya Misri imetolewa leo na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Sameh Shoukry, kando ya mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi la Dunia unaoendelea

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.