Wanaharakati wahamishia mapambano mtandaoni | Mwananchi

Morogoro. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amewataka watetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuongeza kasi ya kuibua na kushughulikia changamoto za ukatili na ndoa za utotoni kwenye maeneo yao, ikiwemo mitandaoni ambako nako ukatili huo unafanyika. Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 29, 2024 kwenye mafunzo maalumu…

Read More

Yanga yafanya uamuzi mgumu kwa Lomalisa, Kibabage

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefanya uamuzi mgumu kwa nyota wake wawili wa nafasi ya ulinzi ya beki ya kushoto, Joyce Lomalisa Mutambala na Nickson Kibabage kwa kumbakisha kikosini staa huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar ambaye anacheza kwa mkopo kutokea Singida Fountain Gate akichukua nafasi ya Mcongo huyo anayetimka mwisho wa msimu. Kibabage alikuwa…

Read More

DKT.BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK KWENYE MAONESHO YA OSHA NA KUPONGEZA KAMPENI YAKE YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’

NAIBU  Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Barrick chini kupitia migodi yake ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi kwa kuzingatia kanuni za Afya na usalama kwa ufasaha kupitia sera yake ya ‘Journey to zero’.   Biteko alitoa pongezi hizo baada ya kutembelea banda la Barrick Tanzania katika maonesho…

Read More

TAEC ilivyookoa maisha ya watu dhidi ya mionzi

Dar es Salaam. Tume ya Nguvu za Atomic Tanzania (TAEC) imezuia matukio 17 yaliyohusiana na mionzi ambayo yalikuwa na uwezekano wa kuleta madhara makubwa kwa jamii, endapo wasingeingilia kati. Matukio ambayo wameyazuia ni utumikaji wa urani kwenye mazao kwa ajili ya kuua wadudu na uingizwaji wa kifaa kizito cha mionzi ambacho hakijatajwa, kilichokuwa kinatafutiwa mteja….

Read More

JKT yavuta 20 milioni ikiizamisha Mtibwa

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata timu ya JKT Tanzania leo dhidi ya Mtibwa Sugar umewafanya mastaa wa timu hiyo kushinda bonasi ya Sh20 milioni kutoka kwa uongozi wa maafande hao huku ukiididimiza Mtibwa mkiani mwa msimamo. JKT ndiyo ilianza kupata bao katika dakika ya sita kupitia kwa beki Edson Katanga aliyefunga kwa kichwa kabla ya…

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More

Rais Samia, viongozi Afrika wataka mikopo nafuu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuziwezesha nchi za Afrika kuwa na maendeleo shindani duniani, ni muhimu taasisi za fedha za kimataifa zizingatie utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu. Amezitaka taasisi hizo kurahisisha masharti ya mikopo ili nchi za Afrika zijiinue kimaendeleo. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024…

Read More

Simba Queens yaendeleza dozi, yanusa ubingwa WPL

SIMBA Queens imeendeleza ubabe na kugawa dozi baada ya kuichapa JKT Queens mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ikiwa juzi tu imetoka kumchapa mtani wake Yanga Princess 3-1 na kusalia kileleni.Hadi kipindi cha kwanza kinaisha Simba ilikuwa inaongoza kwa bao moja lililofungwa na Aisha Mnunka katika dakika ya 5 akipokea pasi kutoka kwa…

Read More

Misri ina matumaini kuwa Israel, Hamas watafikia makubaliano – DW – 29.04.2024

Kauli hiyo ya Misri imetolewa leo na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Sameh Shoukry, kando ya mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi la Dunia unaoendelea mjini Riyadh nchini Saudi Arabia. Shoukry amesema anatumai  pendekezo hilolitazingatia misimamo ya pande zote mbili na kwamba wanasubiri uamuzi wa mwisho: “Kuna pendekezo ambalo lipo mezani, na linapaswa kutathminiwa na kukubaliwa…

Read More