Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 15
Habari

Wabunge wapaza sauti kukosekana haki mahakamani

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Wabunge wametaka utaratibu wa kukazia hukumu pale mtu anaposhinda kesi ya madai uangaliwe upya kwa kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria bungeni. Wabunge Mashimba

Read More
Habari

WAZIRI MKUU KUSHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 20 YA MIRADI YA UMWAGILIAJI

April 29, 2024 Admin

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika utiaji saini mikataba 20 ya ukarabati na ujenzi wa miradi ya umwagiliaji baina ya Tume ya

Read More
Habari

DPP awafutia mashtaka watuhumiwa watatu wa mauaji Geita

April 29, 2024 Admin

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa watatu, Malale Magaka, James Malimi na Kijinga Lugata waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya mtu

Read More
Michezo

Parimatch yazindua promosheni ya Twenzetu Dubai, Zaylissa, Kiredio waula

April 29, 2024 Admin

  Na Mwandishi wetu. Dar es Salaam. Mashabiki wa soka, tenisi, UFC, Kriketi, baseball na michezo mingine sawa wanaweza kushinda tiketi ya kwenda Dubai kwa

Read More
Michezo

Kocha Yanga ataja siri ya Gamondi

April 29, 2024 Admin

WAKATI Yanga imebakiza pointi 12 ikiwa ni sawa na mechi nne ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, kocha wa

Read More
Michezo

Makocha hawa wapewa maua yao

April 29, 2024 Admin

LIGI ya Championship imefikia tamati jana kwa msimu wa 2023/2024 huku Kocha Mkuu wa Pamba, Mbwana Makata akiweka rekodi ya kipekee kwa kuipandisha timu hiyo

Read More
Habari

Hizi hapa sababu za maporomoko ya tope, mbinu za kuyaepuka

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Utunzaji wa uoto wa asili kwenye maeneo yenye miinuko mikubwa ni moja ya mbinu zilizotajwa na wataalamu za kupunguza hatari ya kutokea

Read More
Habari

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

April 29, 2024 Admin

Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na kubainisha

Read More
Habari

Maporomoko ya tope yafunika nyumba 13 Muleba

April 29, 2024 Admin

Muleba. Maporomoko ya matope katika Mlima Kabumbilo Kijiji cha Ilemela wilayani Muleba yamefunika nyumba 13 wananchi wakizuiliwa kufika eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi kwa njia

Read More
Michezo

Mbolea chanzo cha mgogoro USM Alger, RS Berkane

April 29, 2024 Admin

UNAWEZA kuona kwa jicho la kisiasa mgogoro uliopelekea mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane na USM

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 14 15 16 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.