Wabunifu teknolojia za elimu “njooni mchukue mkwanja”

Dar es Salaam. Wabunifu wa teknolojia ya elimu nchini wametakiwa kuwasilisha maombi ya fedha na mafunzo kwa ajili ya kuendeleza bunifu zao ili kuleta suluhu za kielimu nchini. Akizungumza jana Aprili 28, 2024 wakati wa kutambulisha mradi wa wa mafunzo hayo uitwao Mastercard Foundation EdTech Fellowship, Mtendaji Mkuu wa Sahara Ventures, Jumanne Mtambalike amesema lengo…

Read More

Kinara wa mabao aitega Ken Gold

BAADA ya kuandika rekodi mbili tamu Championship, winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo ameshinda tuzo ya mfungaji bora akitupia mabao 21 na pia hii ni mara ya pili kuipandisha timu Ligi Kuu baada ya msimu wa 2021/22 kuipandisha Mbeya Kwanza. Kwa…

Read More

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Watoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa makazi Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kutokana na athari za mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Humo na nchini kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Mbunge wa Ulanga, Salim Hasham amebainisha hayo jana Jumapili wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro juu…

Read More

Waogeleaji watumwa medali Angola | Mwanaspoti

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka waogeleaji wa timu ya Taifa kuhakikisha wanafanya vema kwenye mashindano ya kuogelea ya Afrika (Africa Aquatics Swimming Championship) yatakayoanza kesho Aprili 30 hadi Mei 2 mwaka huu nchini Angola. Mashindano hayo yana lengo la kuwania kufuzu michuano ya Olimpiki itakayofanyika Julai 26 hadi Agosti 11 nchini Ufaransa na…

Read More