Mbunge adai Tanroads ilimpa kazi mkandarasi asiye na vifaa

​​​​​​Morogoro. Mbunge wa Ulanga (CCM), Salim Hasham ameutupia lawama Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Morogoro kwa kumpa kazi mkandarasi asiye na vifaa, jambo ambalo limesababisha kuchelewa kwa ujenzi wa barabara na kuchochea kupanda kwa bei za vyakula. Amedai mkandarasi huyo alipewa mradi wa kujenga barabara inayounganisha Ulanga na Ifakara, hata hivyo, amedai tangu alipopewa…

Read More

Ukraine yazima mashambulizi ya Urusi – DW – 29.04.2024

Jeshi la Ukraine limesema limefanikiwa kuzima mashambulizi yapatayo 55 ya Urusi  katika vijiji kadhaa vya kaskazini na magharibi mwa Novobakhmutivka, kijiji ambacho Moscow imedai kukidhibiti. Mapambano makali yaliripotiwa mwishoni mwa juma katika eneo la mashariki mwa Ukraine, ikiwa ni pamoja na kijiji cha Ocheretyne, ambapo mapigano makali yameripotiwa jana Jumapili. Soma pia: Jeshi la Ukraine lawarejesha…

Read More

MADAKTARI BINGWA KUTOKA MIKOA YA MBEYA,SONGWE NA RUVUMA WAPIGA KAMBI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA WANANCHI RUVUMA

TIMU ya madaktari Bingwa kutoka mikoa ya Ruvuma,Songwe na Mbeya wameanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa Songea(Homso)Dkt Majura Magafu amesema,uchunguzi na matibabu hayo yatahusisha magonjwa ya akina Mama,magonjwa ya ndani kama vile shinikizo la damu,kisukari na figo….

Read More

Barabara hazitajengwa pembeni mwa reli ya SGR

Dodoma. Serikali imesema haitajenga barabara za lami kwa matumizi ya kawaida pembezoni mwa Reli ya Kisasa (SGR), kwa sababu Sheria ya Reli ya Mwaka 2017 hairuhusu kufanya hivyo. Hayo yameelezwa bungeni leo Jumatatu Aprili 29, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Geofrey Kasekenya alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Janeth Massaburi. Mbunge huyo ametaka…

Read More