Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 17
Habari

Mbunge adai Tanroads ilimpa kazi mkandarasi asiye na vifaa

April 29, 2024 Admin

​​​​​​Morogoro. Mbunge wa Ulanga (CCM), Salim Hasham ameutupia lawama Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Morogoro kwa kumpa kazi mkandarasi asiye na vifaa, jambo

Read More
Habari

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NAIROBI-KENYA

April 29, 2024 Admin

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Sierra Leone, Mhe. Sheku Fantamadi Baagura, kabla ya kuanza kwa

Read More
Michezo

Adhabu USM Alger hizi hapa, fainali ni Berkane vs Zamalek

April 29, 2024 Admin

USM Alger itatozwa faini ya Dola 50,000 (Sh 130 milioni) na kufungiwa kushiriki mashindano yote ya klabu yaliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu

Read More
Habari

Watu 22 wauawa mashambulizi mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

29.04.202429 Aprili 2024 Mashambulizi ya anga ya Israel katika mji wa Rafah kusini mwa Gaza yamesababisha vifo vya takriban watu 22, ikiwa ni pamoja na

Read More
Habari

Rais Samia ahutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Jijini Nairobi nchini Kenya

April 29, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na Wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika

Read More
Habari

Ukraine yazima mashambulizi ya Urusi – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

Jeshi la Ukraine limesema limefanikiwa kuzima mashambulizi yapatayo 55 ya Urusi  katika vijiji kadhaa vya kaskazini na magharibi mwa Novobakhmutivka, kijiji ambacho Moscow imedai kukidhibiti.

Read More
Habari

MADAKTARI BINGWA KUTOKA MIKOA YA MBEYA,SONGWE NA RUVUMA WAPIGA KAMBI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA WANANCHI RUVUMA

April 29, 2024 Admin

TIMU ya madaktari Bingwa kutoka mikoa ya Ruvuma,Songwe na Mbeya wameanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa

Read More
Habari

Bwawa lapasua kingo nchini Kenya, watu 24 wapoteza maisha – DW – 29.04.2024

April 29, 2024 Admin

Bwawa hilo la Kijabe linakiswa kuvunja kingo zake mwendo wa saa nane usiku wa kuamkia leo jumatatu baada ya kushiba mvua kubwa inayozidi kunyesha. Maji

Read More
Habari

Barabara hazitajengwa pembeni mwa reli ya SGR

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema haitajenga barabara za lami kwa matumizi ya kawaida pembezoni mwa Reli ya Kisasa (SGR), kwa sababu Sheria ya Reli ya Mwaka 2017

Read More
Habari

WAZIRI BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA CRB NA NCC KUUNDA MABARAZA YA WAFANYAKAZI

April 29, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Balozi Mhandisi Aisha Amour anazisimamia Taasisi za Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC)

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 16 17 18 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.