Wakazi Idunda walia kukosa daraja Mto Mtongolosi 

Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Idunda, Kata ya Kimala, mkoani Iringa wamemwomba Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga asaidie ujenzi wa daraja linalohatarisha maisha yao hasa kwa watoto. Wamesema tatizo hilo si kwa sababu ya mvua, badili ni la miaka mingi, eneo hilo halina daraja jambo lililokifanya kijiji chao kuwa kama kisiwa. New Content Item (1)…

Read More

Waziri Nape asisitiza azma ya Tanzania Kujizatiti katika Zama za Kidijitali katika Kongamano la Connected Africa Summit 2024, Nairobi

Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amethibitisha dhamira madhubuti ya Tanzania kutumia Teknolojia za kidijitali kwa maendeleo endelevu barani Afrika. Akizungumza mbele ya umati wa viongozi,…

Read More

Pacome: Nipo fiti, Naumia sana kutocheza

Mashabiki wa soka nchini wamemisi maufundi ya kiungo wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua aliyekuwa majeruhi, lakini mwenyewe amefunguka kupona na sasa yupo tayari kurejea uwanjani kuendelea kuipambania timu na kutoa burudani. Pacome aliumia Machi 17, mwaka huu kwenye mechi ya ligi dhidi ya Azam iliyopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na timu yake ikipoteza…

Read More

Serikali kutunga sera ya Taifa ya Haki Jinai

Dodoma. Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025 imekuja na vipaumbele 15 kutoka 30 vya mwaka 2023/24, ikiwa ni pamoja na kutunga sera ya Taifa ya Haki Jinai. Wizara pia imeeleza namna ilivyoratibu mchakato wa Katiba mpya. Hayo yamesema leo Aprili 29, 2024 na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Pindi Chana…

Read More

BASSFU YATUA MKUNAZISAMAKI KUSIKILIZA WANANCHI

Na Rahma Khamis Maelezo 29/4/2024. Wananchi wa Shehia ya Kisauni na Muungani wameliomba Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni (BASFU) kuichunguza kwa makini Baa ya Oxygen iliopo Mkunazisamaki ili kuondosha matatizo yanayojitokeza katika shehia hizo. Wakitoa malalamiko katika mkutano, ulioandaliwa na BASFU kwa ajili ya kusikiliza malalamiko ya wananchi wamesema Baa hiyo inapigwa…

Read More

Benchikha na wenzake shida iko hapa

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo…

Read More

Serikali yaeleza TCU inachofanya Zanzibar

Dodoma. Serikali imesema katika kipindi cha Juni, 2023 hadi Machi, 2024 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa mafunzo kwa viongozi na wahadhiri 48 kutoka vyuo vikuu vitatu vilivyopo Zanzibar. Mafunzo hayo yameelezwa yalijumuisha viongozi na wahadhiri kutoka vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki 49 vilivyosajiliwa chini TCU. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Aprili 29, 2024…

Read More

Mastaa hawa Simba ni mvua na jua

KUNA mastaa wapo Simba wameonja raha na karaha, wakati timu hiyo inachukua mataji manne mfululizo, walikuwepo na ilipokosa mataji kwa mara mbili mfululizo (2021/22 na 2022/23) bado wamo. Mwanaspoti linakuchambulia mastaa hao, ambao kwa sasa wanapitia kipindi kigumu wakati timu hiyo ikiwa imebakiza kuwania taji moja pekee la Ligi Kuu Bara. Ingawa hadi sasa Simba…

Read More