Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 18
Habari

Wakazi Idunda walia kukosa daraja Mto Mtongolosi 

April 29, 2024 Admin

Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Idunda, Kata ya Kimala, mkoani Iringa wamemwomba Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga asaidie ujenzi wa daraja linalohatarisha maisha yao hasa

Read More
Habari

Waziri Nape asisitiza azma ya Tanzania Kujizatiti katika Zama za Kidijitali katika Kongamano la Connected Africa Summit 2024, Nairobi

April 29, 2024 Admin

Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano

Read More
Michezo

Pacome: Nipo fiti, Naumia sana kutocheza

April 29, 2024 Admin

Mashabiki wa soka nchini wamemisi maufundi ya kiungo wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua aliyekuwa majeruhi, lakini mwenyewe amefunguka kupona na sasa yupo tayari kurejea

Read More
Habari

Serikali kutunga sera ya Taifa ya Haki Jinai

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025 imekuja na vipaumbele 15 kutoka 30 vya mwaka 2023/24, ikiwa ni pamoja na kutunga

Read More
Habari

BASSFU YATUA MKUNAZISAMAKI KUSIKILIZA WANANCHI

April 29, 2024 Admin

Na Rahma Khamis Maelezo 29/4/2024. Wananchi wa Shehia ya Kisauni na Muungani wameliomba Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni (BASFU) kuichunguza kwa makini

Read More
Michezo

Benchikha na wenzake shida iko hapa

April 29, 2024 Admin

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna

Read More
Habari

Serikali yaeleza TCU inachofanya Zanzibar

April 29, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema katika kipindi cha Juni, 2023 hadi Machi, 2024 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa mafunzo kwa viongozi na wahadhiri 48 kutoka

Read More
Habari

POLISI WATOA UFAFANUZI TAARIFA YA UWONGO MITANDAONI

April 29, 2024 Admin

 

Read More
Michezo

Mastaa hawa Simba ni mvua na jua

April 29, 2024 Admin

KUNA mastaa wapo Simba wameonja raha na karaha, wakati timu hiyo inachukua mataji manne mfululizo, walikuwepo na ilipokosa mataji kwa mara mbili mfululizo (2021/22 na

Read More
Habari

BILIONI 3.8 KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA HOSPITALI YA MKOA GEITA

April 29, 2024 Admin

Serikali imepeleka vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni 3.8 kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa huduma za Afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 17 18 19 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.