Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Idunda, Kata ya Kimala, mkoani Iringa wamemwomba Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga asaidie ujenzi wa daraja linalohatarisha maisha yao hasa
Month: April 2024

Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano

Mashabiki wa soka nchini wamemisi maufundi ya kiungo wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua aliyekuwa majeruhi, lakini mwenyewe amefunguka kupona na sasa yupo tayari kurejea

Dodoma. Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025 imekuja na vipaumbele 15 kutoka 30 vya mwaka 2023/24, ikiwa ni pamoja na kutunga
Na Rahma Khamis Maelezo 29/4/2024. Wananchi wa Shehia ya Kisauni na Muungani wameliomba Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni (BASFU) kuichunguza kwa makini

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna

Dodoma. Serikali imesema katika kipindi cha Juni, 2023 hadi Machi, 2024 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa mafunzo kwa viongozi na wahadhiri 48 kutoka

KUNA mastaa wapo Simba wameonja raha na karaha, wakati timu hiyo inachukua mataji manne mfululizo, walikuwepo na ilipokosa mataji kwa mara mbili mfululizo (2021/22 na

Serikali imepeleka vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni 3.8 kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa huduma za Afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa