Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba
MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi ame tumia sherehe za siku ya Muungano wa Tanganyika kutaja mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Dk. Samia Suruhu akisema alitoa Bilioni 124 zilizojenga miradi. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe … (endelea). Amesema serikali ya awamu ya sita inafanya kazi kubwa ya kuwa ondolea wananchi changamoto zinazowakumba…