Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 19
Habari

Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba

April 29, 2024 Admin

MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi ame tumia sherehe za  siku ya Muungano wa Tanganyika kutaja mafanikio ya miaka mitatu ya Rais

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI NAIRONI NCHINI KENYA.

April 29, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara

Read More
Michezo

Mastaa Yanga kama ulaya | Mwanaspoti

April 29, 2024 Admin

KWA wachezaji nyota wa soka katika baadhi ya klabu barani Ulaya sio ajabu kukuta wakivaa soksi na hata viatu vikiwa na majina au sura zao

Read More
Habari

TARURA mkoa wa Morogoro yatakiwa kuendelea kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji

April 29, 2024 Admin

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Godfrey Mnzava amewataka wakala wa barabara vijijini na mijini TARURA mkoa wa Morogoro kuendelea kuboresha miundo mbinu

Read More
Habari

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

April 29, 2024 Admin

  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa wananchi ngazi ya vijiji kata na wilaya ili kudhibiti ukondefu na udumavu. Anaripoti Ibrahim

Read More
Habari

RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA WENYE LENGO LA KUAINISHA VIPAUMBELE VYA NCHI HIZO

April 29, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Wimbo wa Taifa wa Kenya pamoja

Read More
Michezo

Balama: Kama si Yanga ningeacha soka

April 29, 2024 Admin

CHANGAMOTO katika maisha ni vitu vya kawaida, lakini kuna nyingine huwa zinakatisha tamaa na kama mtu ana roho ndogo ni ngumu kutoboa. Hutokea bahati tu,

Read More
Habari

Wazazi watakiwa kufatila mienendo ya watoto wao kwani ndio jukumu lako la msingi

April 29, 2024 Admin

Wazazi wametakiwa kuwa na tabia ya kufuatilia mienendo ya watoto wao ikiwa njia mojawapo ya kuwalinda dhidi ya ukatili wanaoweza kufanyiwa na baadhi ya watu

Read More
Habari

Profesa Mkenda awakingia kifua wanaume Rombo dhidi ya tuhuma za ulevi

April 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwaka 2015 iliripotiwa wanawake wilayani Rombo kulalamika kwenda nchi jirani ya Kenya kukodi wanaume kupata unyumba, baada ya waume wao kuishiwa nguvu

Read More
Habari

Bolt Business yazindua Huduma yake kuponi kwa makampuni ili kutoa huduma kwa wafanyakazi, wateja na washirika kwa urahisi nchini Tanzania

April 29, 2024 Admin

Kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa makampuni kwa njia ya mtandao barani Afrika Bolt Bolt Business, imetangaza huduma yake mpya ya Bolt Business Kuponi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 18 19 20 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.