
Kamati kuu ya Chadema kukutana Mei 4
Dar es Salaam. Vigogo wa Chadema wanatarajia kujifungia katika kikao cha kamati kuu kinachotarajiwa kufanyika Mei 4 kikiwa na ajenda mbalimbali ikiwamo ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Ajenda nyingine zitakazojadiliwa na vigogo hao ni tathimini ya wiki wa maandamano ya amani yaliyoingia siku ya saba leo, yenye lengo la kufikisha kilio cha wananchi…