Miili miwili ya walioangukiwa na ukuta yazikwa Dar

Dar es Salaam. Miili ya watu wawili kati ya wanne wa familia moja waliofariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba waliyokuwa wakiishi imezikwa. Ajali hiyo ilitokea Mtaa wa Goroka B, Toangoma, mkoani Dar es Salaam. Miili mingine imesafirishwa kwenda mkoani Kigoma. Ajali ilitokea asubuhi ya Aprili 26, 2024. Waliofariki dunia ni Lidya Heza (21),…

Read More

Jiji la Dodoma hatarini kuwa eneo la makazi holela

Dodoma. Tangu Dodoma ilipotangazwa kuwa Jiji Aprili 2018, kumekuwa na kasi kubwa ya ongezeko la idadi ya watu na shughuli za kibinadamu zinazoathiri mifumo ya ikolojia hasa misitu na uoto wa asili. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi, idadi ya watu jijini humo imeongezeka kutoka 410,956 mwaka 2012 hadi 765,179 mwaka 2022 sawa…

Read More

Simba yamrejesha Juma Mgunda | Mwanaspoti

Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha anaondoka kwenye kikosi hicho na muda mchache uliopita, Simba imetoa taarifa ya kuachana naye na sasa timu hiyo itakuwa chini na Mgunda na Selemani Matola. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

Thank You! Simba yamuaga Benchikha, Mgunda apewa timu

KLABU ya Simba imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mualgeria, Abdelhak Benchikha ikiwa ni siku moja tangu atwae Kombe la Muungano lililohitimishwa jana visiwani Zanzibar huku Juma Mgunda akipewa timu hiyo. Simba ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0, lililofungwa na kiungo wa kikosi hicho, Babacar Sarr katika dakika…

Read More

Simulizi ya mwanafunzi mchoraji mwenye uoni hafifu

Bukoba. β€œNilianza kuchora picha ya chupa ya maji, baadaye nilichora picha ya baba yangu mzazi, kwa sasa nimechora picha ya mbunge wangu, na picha hii ni zawadi kwake. Natamani kusoma chuo Β Korea na China ili kuendeleza kipaji changu na kuinua familia yangu yenye uhitaji mkubwa.” Hayo ni maneno ya Julieth Richard (19), msichana mwenye uoni…

Read More

Ken Gold kuzipeleka Simba, Yanga Chunya

‘Tanzania tunaitaka Chunya’. Ni kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarack Batenga akielezea Ken Gold kutumia Uwanja wa Chunya kwa ajili ya mechi zao za nyumbani Ligi Kuu msimu ujao. Uwanja huo ambao ulitumika katika michuano maalumu ya Mbeya Pre Season, una uwezo wa kubeba watazamaji 20,000 ambao kwa sasa unaendelea na ujenzi na…

Read More

Vijana wapewa β€˜mchongo’ sekta ya kilimo

Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujitokeza kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa kujiunga katika vikundi, ili kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa urahisi, uzoefu na elimu ya kifedha. Kwa kufanya hivyo imeelezwa kutasaidia wanafunzi waliosoma masuala ya kilimo kutokimbia fani hiyo. Mbali ya hayo, imeshauriwa kuboreshwa miundombinu na usafirishaji, kuongezwa mitaji ya uwekezaji, wakopaji kuwa na…

Read More

RC CHONGOLO ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA UKUMBI WA KANISA LA KKKT TUNDUMA,ASKOFU MKUU MALASUSA ASEMA SONGWE WAMEPATA MKUU WA MKOA MCHAPAKAZI,MSIKIVU NA ANAYEPOKEA USHAURI.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel G. Chongolo ameshiriki katika ibada maalumu ya Kanisa la KKKT Jimbo la Tunduma ikiongozwa na Askofu Mkuu wa makanisa ya KKKT Tanzania Dkt. Alex Malasusa iliofanyika katika mji wa Tunduma sambamba na uzinduzi wa ukumbi wa kanisa hilo. Akiongea katika hafla hiyo Chongoloa amesema mkoa wa Songwe ni moja…

Read More