Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 24
Michezo

Pamba yarejea Ligi Kuu Bara baada ya miaka 22

April 28, 2024 Admin

TP Lindanda wana Kawekamo timu ya Pamba Jiji FC imerejea tena Ligi Kuu Bara na kuwakata kiu mashabiki wa soka wa Jiji la Mwanza ambao

Read More
Habari

Kamanda Muliro: Boni Yai, Malisa hawakingwi na sheria

April 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema sheria ya watoa taarifa kulindwa,  haimaanishi watu kujikite kutoa za

Read More
Habari

Viongozi wa Dini mtusaidie kukemea ukatili wa kijinsia – RAS MANYARA

April 28, 2024 Admin

 Na Mary Margwe, Simanjiro. Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Maryam Muhaji ameitaka jamii kuhakikisha wanaimarisha Muungano huo, pamoja na kukemea vitendo vya Ukatili wa

Read More
Habari

NBC yapata tuzo ya mwezeshaji bora wa mikopo serikali Afrika

April 28, 2024 Admin

Benki ya NBC imepata tuzo ya Mwezeshaji Bora wa Pamoja wa Mikopo ya Serikali Kuu nchini katika Bara la Afrika kwa mwaka 2023 katika Tuzo

Read More
Habari

Hatima ya vigogo Tume Huru ya Uchaguzi kuteka bajeti ya Sheria na Katiba

April 28, 2024 Admin

Dodoma. Hoja ya kuwataka wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kujiuzulu, vyama kuanzisha madawati ya jinsia na Katiba mpya, huenda zikapata majibu katika

Read More
Habari

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mengi, makubwa ya mfano, tumuunge mkono kwa vitendo – DC LULLANDALA

April 28, 2024 Admin

 Na Mary Margwe, SIMANJIRO. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara Fakii Raphael Lulandala amesema katika kipindi Cha Serikali ya awamu ya sita, chini ya

Read More
Habari

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahali pa kazi

April 28, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa

Read More
Habari

Marekani yaombwa izuie hatua ya kuushambulia mji wa Rafah – DW – 28.04.2024

April 28, 2024 Admin

Saudi Arabia ambayo ni mwenyeji wa mkutano maalum wa kimataifa unaojadili masuala ya kiuchumi  imetowa mwito wa uthabiti katika kanda ya Mashariki ya kati, huku

Read More
Habari

Wataka maandamano ya Chadema vijijini

April 28, 2024 Admin

Sengerema. Wananchi wa Sengerema mkoani Mwanza wamewashauri viongozi wa Chadema kushusha maandamano ya amani hadi ngazi ya vijiji, ili kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo kupata

Read More
Habari

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

April 28, 2024 Admin

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 23 24 25 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.