Pamba yarejea Ligi Kuu Bara baada ya miaka 22

TP Lindanda wana Kawekamo timu ya Pamba Jiji FC imerejea tena Ligi Kuu Bara na kuwakata kiu mashabiki wa soka wa Jiji la Mwanza ambao wamesubiri kwa zaidi ya miaka 20, huku kocha Mbwana Makatta akiandika historia ya kuzipandisha daraja timu nne ndani ya misimu saba. Mabingwa hao wa Ligi ya Muungano mwaka 1990 wamerejea…

Read More

Kamanda Muliro: Boni Yai, Malisa hawakingwi na sheria

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema sheria ya watoa taarifa kulindwa, Β haimaanishi watu kujikite kutoa za uongo, huku wakidai walindwe. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo leo Aprili 28, 2024 alipotoa elimu kwa umma akijibu kilichoelezwa na Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai…

Read More

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mengi, makubwa ya mfano, tumuunge mkono kwa vitendo – DC LULLANDALA

Β Na Mary Margwe, SIMANJIRO. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara Fakii Raphael Lulandala amesema katika kipindi Cha Serikali ya awamu ya sita, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefanya shughuli nyingi na kubwa na kuiletea Tanzania Mafanikio makubwa ya Maendeleo katika Sekta karibia zote. Akizungumza juzi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara…

Read More

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati wote wanalinda usalama wa waajiriwa wao. Biteko ametoa kauli hiyo leo Jumapili Aprili…

Read More

Marekani yaombwa izuie hatua ya kuushambulia mji wa Rafah – DW – 28.04.2024

Saudi Arabia ambayo ni mwenyeji wa mkutano maalum wa kimataifa unaojadili masuala ya kiuchumiΒ  imetowa mwito wa uthabiti katika kanda ya Mashariki ya kati, huku ikitahadharisha kuhusu athari zinazoweza kusababishwa duniani na vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas. Mtazamo wa Saudi Arabia umetolewa kwenye ufunguzi wa mkutano huo wa kilele unaohudhuriwa na…

Read More

Wataka maandamano ya Chadema vijijini

Sengerema. Wananchi wa Sengerema mkoani Mwanza wamewashauri viongozi wa Chadema kushusha maandamano ya amani hadi ngazi ya vijiji, ili kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo kupata uelewa wa pamoja kuhusu malengo ya maandamano hayo. Wametoa ushauri huo leo Aprili 28, 2024 kufuatia maandamano ya Chadema yaliyofanyika jana Aprili 27, wilayani humo naΒ  na kuongozwa na mwenyekiti…

Read More

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati wote wanalinda usalama wa waajiriwa wao. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Biteko ametoa kauli hiyo leo Jumapili baada ya…

Read More