NGORONGORO YAZINDUA ZOEZI LA UPIGAJI KURA KUWANIA TUZO YA KIVUTIO BORA CHA UTALII BARANI AFRIKA.

 Na Mwandishi wetu, Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imezindua zoezi  la upigaji kura kuwania tuzo ya kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha. Akizindua kampeni hiyo ya upigaji kura kaimu kamishna wa Uhifadhi NCAA Victoria Shayo amesema zoezi hilo litachukua siku…

Read More

Simba yaifuata Namungo bila Benchikha

KIKOSI cha Simba kimewasili kutoka Zanzibar ambako kimetwaa taji la sita la Muungano na kuunganisha moja kwa moja kuifuata Namungo tayari kwa mchezo wa ligi utakaochezwa Jumanne. Lakini pia gazeti hili limepenyezewa kuwa kocha wa fitness (utimamu) pia hayupo kwenye msafara wa kikosi cha timu hiyo ikielezwa kuwa anaondoka sambamba na Benchikha ambaye alikuja naye….

Read More

Mwanafunzi ajinyonga baada ya mpenzi wake kukamatwa

Mufindi. Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Mgololo iliyopo katika kata ya Makungu, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Rahel Nyasi amekutwa amejinyonga katika mti wa shamba lililopo karibu na nyumba yao. Akizungumza kwa njia ya simu leo April 28, 2024, Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mabaoni, Zephania Masanja, amethibitisha kutokea kwa…

Read More

Robertinho alivyomuachia gundu Benchikha | Mwanaspoti

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha, anatarajiwa kuachana na klabu hiyo leo baada ya kusimamia mechi yake ya mwisho ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC katika fainali ya Kombe la Muungano jana akitwaa ubingwa wa michuano hiyo kwenye Uwanja New Amaan Complex, Zanzibar. Taarifa za ndani zinasema Simba wakati wowote itatangaza kumuaga Benchikha anayeondoka…

Read More

Serikali kununua helikopta maalumu kutafiti madini

Geita. Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema Serikali kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), kwa mwaka ujao wa fedha inakusudia kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalumu vyenye uwezo wa kwenda chini umbali wa kilomita moja na kutafiti kwa kina kiwango cha madini kilichopo ardhini. Pia, Serikali inalenga kujenga maabara kubwa na ya…

Read More

Majaliwa: Chunguzeni watoto wenye usonji mapema

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya kuongeza vituo vya huduma za uchunguzi na utambuzi wa mapema wa ugonjwa wa usonji na matatizo mengine yanayoweza kubainika, watoto wanapohudhuria kliniki kila mwezi. Wakati kati ya watoto 160 mmoja ana usonji, takwimu za kwenye vituo vya huduma za afya na shuleni…

Read More

Mtanzania kusaka rekodi kisiwa cha Greenland

Moshi. Kijana mmoja mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro, Wilfredy Moshi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Denmark kwenye mashindao ya kutembea na kuteleza kwenye barafu katika kisiwa cha Greenland, huenda akawa Mtanzania na Mwafrika wa kwanza kufika katika kisiwa hicho. Asilimia 80 ya kisiwa cha Greenland ambacho ni kikubwa zaidi duniani na chenye watu 56,000, imefunikwa na…

Read More

Lala salama Championship ya jasho na damu

Ni fursa nzuri kwa Pamba kumaliza unyonge wa miaka 22 wa kukaa bila kushiriki Ligi Kuu itakapokabiliana na Mbuni FC kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha kuanzia saa 10 jioni, leo. Ushindi katika mechi hiyo utaifanya Pamba ambayo mara ya mwisho kushiriki Ligi Kuu 2002, kuchukua nafasi moja iliyobaki katika Ligi ya Championship…

Read More

SLOTI YA BOOK OF ESKIMO USHINDI KUGUSA TU

KUPANGA ni kuchagua, chagua kuwa mshindi kila siku kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kila siku kuna bonasi kibasi na michezo sana usipange kukosa bahati hii. Kupitia sloti mpya ya Book of Eskimo unaweza kushinda kirahisi swali ni je unashindaje shindaje? Jisajili Meridianbet na fuata maelekezo haya. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi…

Read More