Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 3
Michezo

Mgunda aanza na sare Simba

April 30, 2024 Admin

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, ameanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho kwa kuambulia sare katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi

Read More
Habari

Taharuki yaibuka Hanang mafuriko mengine yakitokea

April 30, 2024 Admin

Hanang. Wakazi wa Kijiji cha Gocho kilichopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamekumbwa na taharuki baada ya Mlima Hanang kumeguka na kusababisha mafuriko na kuharibu

Read More
Habari

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA JARIDA LA THE AFRICAN REVIEW

April 30, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WASOMI wametakiwa kuchukua jukumu na kuendeleza tafiti ambazo zitachapishwa katika kanzi data za kimataifa kwa lengo la kutatua changamoto zinazoikabili

Read More
Michezo

Sababu kwanini Mgunda anatosha Simba

April 30, 2024 Admin

Mashabiki wa Simba wamepata mzuka upya wakiwa na matumaini makubwa kwa kocha wa timu hiyo Juma Mgunda ambaye anasaidiana na Selemani Matola. Mgunda ambaye alikuwa

Read More
Burudani

DEBLINKZ WAMEKUJA TENA NA BABY NA FIRE

April 30, 2024 Admin

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyekachi na Onyebuchi Ikeh

Read More
Habari

Kituo cha uwekezaji kuzinduliwa Arusha, Julai

April 30, 2024 Admin

Arusha. Serikali inatarajia kuzindua Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika Mkoa wa Arusha kufikia Julai Mosi, 2024 ili kuondoa urasimu wanaokumbana nao wawekezaji. Kauli hiyo

Read More
Habari

NAIBU SPIKA AFUNGUA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO WABUNGE DODOMA

April 30, 2024 Admin

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania Mhe . Mussa A Zungu (Mb) afungua semina iliyoandaliwa na Taasisi chini ya Wizara ya Nishati, REA, Tanesco, TPDC,

Read More
Habari

RAIS SAMIA ARIDHIA UJENZI WA BARABARA YA KM 41 KUTOKA KIBADA -MWASONGA -KIMBIJI-WAZIRI BASHUNGWA

April 30, 2024 Admin

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu

Read More
Habari

Kikao cha Mapitio ya Utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP)

April 30, 2024 Admin

Kikao cha Mapitio ya Utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) kwa kipindi cha Miaka Miwili na Nusu kimefanyika Jijini Arusha

Read More
Michezo

Wazir Jr kinara wa ufungaji KMC FC ajiunga Meridianbet

April 30, 2024 Admin

    MUITE Wazir Jr ‘The King of CCM Kirumba’, kwa sasa anakipiga KMC FC inayodhaminiwa na kampuni namba moja kwa michezo ya ubashiri na

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 4 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.