Mgunda aanza na sare Simba

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, ameanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho kwa kuambulia sare katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi, umemalizika kwa sare ya mabao 2-2 ikiwa ni sare ya tatu mfululizo kwa timu hizo…

Read More

Taharuki yaibuka Hanang mafuriko mengine yakitokea

Hanang. Wakazi wa Kijiji cha Gocho kilichopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamekumbwa na taharuki baada ya Mlima Hanang kumeguka na kusababisha mafuriko na kuharibu mazao na makazi ya watu. Wakizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 30, 2024, wamesema tukio hilo limetokea jana Aprili 29, 2024 usiku kwenye kijiji hicho. Mmoja wa wakazi wa…

Read More

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA JARIDA LA THE AFRICAN REVIEW

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WASOMI wametakiwa kuchukua jukumu na kuendeleza tafiti ambazo zitachapishwa katika kanzi data za kimataifa kwa lengo la kutatua changamoto zinazoikabili jamii na kuufikia Ulimwengu mzima ili kuendana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia. Ameyasema hayo leo Aprili 30,2024 Jijini Dar es Salaam, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar…

Read More

Sababu kwanini Mgunda anatosha Simba

Mashabiki wa Simba wamepata mzuka upya wakiwa na matumaini makubwa kwa kocha wa timu hiyo Juma Mgunda ambaye anasaidiana na Selemani Matola. Mgunda ambaye alikuwa timu ya Wanawake Simba Queens alirudishwa kwenye kikosi cha wakubwa baada ya kuondoka aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha juzi, kutokana na kile kinachodaiwa kuwa anasumbuliwa na matatizo…

Read More

DEBLINKZ WAMEKUJA TENA NA BABY NA FIRE

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyekachi na Onyebuchi Ikeh kutoka jimbo la Anambra, wawili hao wakubwa wa Kiafrika walianza safari yao ya kikazi mwaka wa 2006.  Wakianzisha lebo yao wenyewe, C-unit Management, ambayo zamani ilijulikana kama DEBLINKZ, wawili hao…

Read More

Kituo cha uwekezaji kuzinduliwa Arusha, Julai

Arusha. Serikali inatarajia kuzindua Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika Mkoa wa Arusha kufikia Julai Mosi, 2024 ili kuondoa urasimu wanaokumbana nao wawekezaji. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Apili 30, 2024 jijini Arusha na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo wakati akizungumza kwenye kongamanao la uwekezaji kwenye sekta ya…

Read More

RAIS SAMIA ARIDHIA UJENZI WA BARABARA YA KM 41 KUTOKA KIBADA -MWASONGA -KIMBIJI-WAZIRI BASHUNGWA

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia kitengo cha dharura imekuwa ikirudisha mawasiliano kwenye maeneo ambayo mawasiliano yamekatika kutokana na uharibifu….

Read More

Wazir Jr kinara wa ufungaji KMC FC ajiunga Meridianbet

    MUITE Wazir Jr ‘The King of CCM Kirumba’, kwa sasa anakipiga KMC FC inayodhaminiwa na kampuni namba moja kwa michezo ya ubashiri na kasino ya Mtandaoni– Meridianbet, wameungana na kufanya jambo kwa jamii anayoishi kijana huyu maeneo ya Kinyerezi-Tabata. Wazir Jr ikumbukwe kuwa ndiye mchezaji kinara wa upachikaji wa magoli kwa klabu ya…

Read More