Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 32
Habari

Mvua yasababisha barabara Hifadhi ya Ngorongoro kufungwa kwa muda

April 27, 2024 Admin

Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), imesema imefunga kwa muda baadhi ya barabara katika hifadhi hiyo kwa ajili ya matengenezo kutokana na kuharibiwa vibaya

Read More
Burudani Michezo

Hizi ndizo tabia za Diarra, Aucho kambini Yanga

April 27, 2024 Admin

Kikosi cha Yanga jioni ya jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku mastaa wa timu hiyo, Djigui Diarra,

Read More
Habari

Afrika Kusini yaadhimisha miaka 30 ya demokrasia – DW – 27.04.2024

April 27, 2024 Admin

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa alipongeza mafanikio ya nchi hiyo chini ya uongozi wa chama chake cha African National Congress (ANC). “Afrika Kusini leo

Read More
Habari

Mwanahabari Kabendera aituhumu Vodacom kufanikisha ‘kutekwa’ kwake

April 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwanahabari Erick Kabendera ameibua tuhuma nzito dhidi ya kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikisha

Read More
Habari

China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

April 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. China imetoa fursa ya Watanzania nchini  kupata ufadhili wa kusomeshwa katika Taifa hilo la pili kiuchumi na kwa idadi ya watu duniani.

Read More
Habari

MAMBA WATISHIA USALAMA WA WANANCHI WA KATA YA RUVU.

April 27, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wananchi wa kata ya Ruvu kuwa makini na maji yanayotapakaa katika

Read More
Habari

Wanafunzi St. Mathew wahamasishwa kujifunza Kichina

April 27, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Mathew iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wamehamasishwa kujifunza lugha ya Kichina ili

Read More
Michezo

MTU WA MPIRA: Kwa Simba hii hata apewe Gamondi haifanyi maajabu

April 27, 2024 Admin

Nimeona mitandaoni tetesi Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameomba kuondoka mwishoni mwa msimu. Sijui kama ni ukweli ama uongo maana waandishi wengi wa kizazi

Read More
Habari

SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SHULE BINAFSI- DKT. BITEKO

April 27, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi hususan shule binafsi ili kuboresha sekta

Read More
Habari

BAKWATA: Wenza wengi nchini hawana elimu kuhusu ndoa

April 27, 2024 Admin

Na Ramadhan Hassan, Dodoma Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) umebaini kuwa wenzi wengi wanaoingia katika ndoa hawana elimu kuhusu ndoa. Kutokana

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 31 32 33 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.