Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 34
Michezo

Championship mwisho wa ubishi ni kesho

April 27, 2024 Admin

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi

Read More
Habari

watatu wa familia moja wadaiwa kumuua Mwenyekiti wa kitongoji Same

April 27, 2024 Admin

Same.Watu watatu wa familia moja, katika kitongoji cha Kampimbi, Kijiji cha Ndungu, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro wanadaiwa kumshambulia na kumuua kwa kumkata sehemu za

Read More
Habari

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha

April 27, 2024 Admin

KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli zao, Kampuni ya Geita

Read More
Habari

Bakwata kulinda rasilimali zake kidijitali

April 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ili kudhibiti upotevu wa mali na mapato yake, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limeanzisha mifumo ya kidijitali kwa ajili ya kuratibu

Read More
Habari

DC SAME AAGIZA KUSAKWA KWA WATUHUMIWA WATATU WA MAUAJI YA MWENYEKITI WA KITONGOJI..

April 27, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameliagiza Jeshi la polisi kufanya msako na kuwakamata watu watatu wa familia

Read More
Michezo

Championship mwuisho wa ubishi ni kesho

April 27, 2024 Admin

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi

Read More
Habari

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

April 27, 2024 Admin

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea

Read More
Habari

ULEGA ZIARANI KUKAGUA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MKURANGA

April 27, 2024 Admin

Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega leo Aprili 27, 2024 ametembelea maeneo yalioathiriwa na mafuriko

Read More
Michezo

Prince Dube aishi kifahari dar, aiponza Yanga

April 27, 2024 Admin

MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili

Read More
Habari

Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

April 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 33 34 35 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.