Tshisekedi asema simu za kiganjani zina damu ya Wakongo – DW – 30.04.2024

Nchi zilizoendelea kiviwanda ‘lazima ziweke shinikizo kwa [mashirika ya kimataifa] kukomesha biashara haramu. … Simu za kiganjani mlizo nazo hapa katika nchi zenu zina damu ya Wakongo.’ Ndivyo alivyosema Félix Tshisekedi, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika mahojiano maalum na DW mjini Berlin. Tshisekedi alisema ‘‘Rwanda imegundua kuwa kuna madini katika Jamhuri…

Read More

Simulizi ya mwalimu aliyegeukia ushonaji viatu

Sengerema. Wakati baadhi ya vijana nchini wakilia ukosefu wa ajira baada ya kuhitimu masomo katika vyuo vya kati na vyuo vikuu, kwa Anordy Theonest (25), hali ni tofauti. Alihitimu stashahada ya ualimu mwaka 2018 katika Chuo cha Ualimu Vikindi kilichopo Mkuranga mkoani Pwani, lakini muda mfupi baada ya kuhitimu akageukia ushonaji viatu kukabiliana na ukosefu…

Read More

MSD, Sierra Leone kubadilishana uzoefu wa utendaji

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Bohari Kuu ya Dawa nchini(MSD) imekubaliana kushirikiana na Bohari ya Dawa ya Sierra Leone ikizamo kubadilishana taarifa za utendaji ili kuwasaidia bohari hiyo kuweza kukua na kufikia ukubwa wa MSD. Akizungumza Aprili 29, 2024 baada ya mazungumzo na ugeni kutoka Sierra Leon uliokuja nchini kujifunza shughuli zinazofanywa na MSD, Mkurugenzi…

Read More

Mvua ilivyochangia ongezeko la malaria nchini

Dar es Salaam. Idadi ya wanaobainika kuwa na ugonjwa wa malaria imeongezeka, chanzo kikielezwa ni mabadiliko ya tabianchi yanayochangia ongezeko la mvua zinazosababisha uwepo wa mazalia ya mbu. Wagonjwa wa malaria wametajwa kuongezeka kwa kipindi cha mwaka 2023, huku jamii ikitakiwa kuchukua tahadhari kwa kujikinga na ugonjwa huo, ikiwamo kutumia vyandarua vyenye dawa. Takwimu zinaonyesha…

Read More

BARABARA ZOTE ZINAZOSIMAMIWA NA TANROADS ZILIZOATHIRIWA NA MVUA ZA EL-NINO ZINAFUNGULIWA KWA WAKATI-WAZIRI BASHUNGWA

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia kitengo cha dharura imekuwa ikirudisha mawasiliano kwenye maeneo ambayo mawasiliano yamekatika kutokana na uharibifu….

Read More