Rais Samia atabiri 2030 Tanzania kuwa na CDF mwanamke
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amedokeza huenda mwaka 2030 Tanzania ikawa na Mkuu wa Majeshi mwanamke. Msingi wa dokezo lake hilo ni kile alichoeleza, katika onyesho la Paradushi mwaka huu, limejumuisha askari wa kike tofauti na miaka yote. Onyesho hilo lililofanyika katika sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa…